Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu Lissu amefungua shauri la maombi Mahakama Kuu akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa kesi dhidi yake ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni uliotolewa...
PRIME Wajumbe CCM wanoa vichinjio Vita ya usajili Simba, Yanga Mukhtsari Kwa upande wa Simba, Fadlu anaamini kikosi chake kinahitaji kuboreshwa kwa maeneo manne muhimu ambayo ni kiungo wa kuzuia, kiungo wa kushambulia...
PRIME Siku 170 za Mbowe nje ya siasa Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala...
PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Profesa Kitila, umezunguka sana lakini jawabu ni Katiba mpya Jumanne ya Julai 8, 2025 nilipata bahati ya kufuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), akielezea mchakato...
Viongozi, wafuasi Chadema wajitokeza mahakamani kufuatilia uamuzi kesi ya Lissu Viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamejitokeza katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya Tundu Lissu.
PRIME Wydad, Aziz KI mambo yamefika hapa Klabu ya Wydad Athletic ya Morocco hatimaye imekubali kumchukua kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kwa mkataba wa kudumu, baada ya wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu mustakabali wake ndani ya...
Ripoti ya kampuni ya Carbon Tanzania yaonyesha maendeleo makubwa katika jamii kutokana na faida za miradi ya hewa ukaa
Viongozi, wafuasi Chadema wajitokeza mahakamani kufuatilia uamuzi kesi ya Lissu Viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamejitokeza katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya Tundu Lissu.
Wajutia wakiahidi kuwa walinzi baada ya kutiwa mbaroni, kutozwa faini kisa uvuvi haramu Baada ya kukamatwa na kutozwa faini kwa kosa la kuendesha uvuvi haramu, wavuvi zaidi ya 40 wamesema wamepata funzo na kuahidi kuwa mabalozi wa kutokomeza uvuvi huo.
PRIME Siku 170 za Mbowe nje ya siasa Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala...
NMB, DSE walivyorahisisha ununuzi, uuzaji hisa kidijitali Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), wamezindua ushirikiano wa kimkakati na wa kidijitali kwa ununuzi na uuzaji wa hisa za kampuni mbalimbali.
PRIME Wydad, Aziz KI mambo yamefika hapa Klabu ya Wydad Athletic ya Morocco hatimaye imekubali kumchukua kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kwa mkataba wa kudumu, baada ya wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu mustakabali wake ndani ya...
Selena Gomez anapaswa kumshukuru Rema Staa wa Pop Marekani, Selena Gomez, 32, akiwa na miaka zaidi ya 10 katika muziki, ana mengi ya kushurukuru katika safari yake hiyo na mojawapo ni kukutana na mwanamuziki mwenzake kutokea Nigeria,...
Daraja la JP Magufuli kielelezo cha maendeleo Katika hatua ya kihistoria kwa maendeleo ya miundombinu nchini, serikali ilishakamilisha ujenzi wa Daraja la JP Magufuli maarufu Kigongo–Busisi, ambalo ni refu zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki.
Walimu wapigwa msasa ufundishaji kidijitali Katika kuhakikisha shule za msingi na sekondari zinafundisha kidijitali, walimu wa shule hizo kutoka maeneo mbalimbali wamefunzwa kufundisha kwa njia hiyo ili kuboresha upatikanaji wa elimu bora.