Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu Lissu amefungua shauri la maombi Mahakama Kuu akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa kesi dhidi yake ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni uliotolewa...
PRIME Wajumbe CCM wanoa vichinjio Vita ya usajili Simba, Yanga Mukhtsari Kwa upande wa Simba, Fadlu anaamini kikosi chake kinahitaji kuboreshwa kwa maeneo manne muhimu ambayo ni kiungo wa kuzuia, kiungo wa kushambulia...
PRIME Siku 170 za Mbowe nje ya siasa Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala...
PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Profesa Kitila, umezunguka sana lakini jawabu ni Katiba mpya Jumanne ya Julai 8, 2025 nilipata bahati ya kufuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), akielezea mchakato...
Viongozi, wafuasi Chadema wajitokeza mahakamani kufuatilia uamuzi kesi ya Lissu Viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamejitokeza katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya Tundu Lissu.
PRIME Wydad, Aziz KI mambo yamefika hapa Klabu ya Wydad Athletic ya Morocco hatimaye imekubali kumchukua kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kwa mkataba wa kudumu, baada ya wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu mustakabali wake ndani ya...
Ripoti ya kampuni ya Carbon Tanzania yaonyesha maendeleo makubwa katika jamii kutokana na faida za miradi ya hewa ukaa
PRIME HUKUMU MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA:Kutoka mipango, mauaji mpaka kunyongwa askari Polisi – 12 Katika sehemu hii ya simulizi ya hukumu ya kesi ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama inafafanua majukumu ya kila mshtakiwa katika tukio hilo.
Wenye ulemavu watengewa Sh570 milioni za mikopo Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu kuhusu upatikanaji wa mikopo inayotolewa na Serikali, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) na Baraza la Taifa la Watu Wenye...
PRIME Siku 170 za Mbowe nje ya siasa Zimetimia siku 170, tangu Freeman Mbowe alipowekwa kando kwenye uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Tundu Lissu huku maswali yakitawala...
NMB, DSE walivyorahisisha ununuzi, uuzaji hisa kidijitali Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), wamezindua ushirikiano wa kimkakati na wa kidijitali kwa ununuzi na uuzaji wa hisa za kampuni mbalimbali.
PRIME Wydad, Aziz KI mambo yamefika hapa Klabu ya Wydad Athletic ya Morocco hatimaye imekubali kumchukua kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki kwa mkataba wa kudumu, baada ya wiki kadhaa za sintofahamu kuhusu mustakabali wake ndani ya...
French Montana na binti wa Mfalme kuna namna! Staa wa muziki Marekani, French Montana ambaye pia ana asili ya Morocco ameonekana kwa mara nyingine tena akiwa na anayetajwa kuwa mpenzi wake mpya, na huyu si mwingine ni binti wa Mfalme wa...
Daraja la JP Magufuli kielelezo cha maendeleo Katika hatua ya kihistoria kwa maendeleo ya miundombinu nchini, serikali ilishakamilisha ujenzi wa Daraja la JP Magufuli maarufu Kigongo–Busisi, ambalo ni refu zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki.
PRIME Uende haja kubwa mara ngapi kwa siku, wiki? Kumekuwa na mitazamo tofauti kuhusu kwenda haja kubwa kwa siku. Wapo waendao mara tatu, huku wengine kwao ni tukio adimu na maalumu.