Gwajima afafanua anavyotumika kuwateka watanzania

Muktasari:

 Alifafanua kauli yake hiyo akisema anateka fikra, mawazo, elimu za watu ili wameguekie Mungu.

Dar es Salaam. Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ingawa watanzania wana hofu ya kutekwa lakini yeye hawezi kutekwa bali anateka watu.

 Alifafanua kauli yake hiyo akisema anateka fikra, mawazo, elimu za watu ili wameguekie Mungu.

 Ameyasema hayo wakati wa ibada ya Jumapili kanisani kwake.