Mazoezi ya polisi yafunga maduka Dar es Salaam
Muktasari:
Chadema wametangaza Septemba Mosi kuwa ni siku ya maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima
Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku sita kufanyika kwa maandamano ya Ukuta, hofu na taharuki jana viliwakumba wakazi na wafanyabiashara wa eneo la Maturubai, Mbagala Rangi Tatu baada ya kushuhudia vikosi vya polisi vikifanya mazoezi ya kuzuia na kupambana na uhalifu.
Akizungumzia mazoezi hayo, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro alisema yalianzia Wilaya ya Temeke na Kigamboni na leo yataendelea Ilala na kumalizia Kinondoni.
Habari zaidi soma Gazeti
la Mwananchi