Vigogo watatu Tume ya Uchaguzi Kenya wajiuzulu
Muktasari:
Vigogo hao ni pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa Tume hiyo, Connie Nkatha Maina, Kamishna Margaret Mwachanya na Paul Kurgat.
Vigogo watatu wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) wamejiuzulu leo Aprili 16.
Vigogo hao ni pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa Tume hiyo, Connie Nkatha Maina, Kamishna Margaret Mwachanya na Paul Kurgat.
Hata hivyo mpaka sasa bado hazijatajwa sababu za vigogo hao kuamua kujiuzulu.