
| Kanumba awashukia wanafiki | Send to a friend |
| Saturday, 28 January 2012 09:37 |
|
Kanumba ameandika katika mtandao wake wa, www,kanumbathegreat.blogspot.com, akiwaasa watu kuamua moja kuwa moto au baridi. ''Hata tukiwa na uwezo wa kuhamisha milima kama hatupendani ktk tasnia ni kazi bure,kile kilicho moyoni ndio kionyeshe usoni na sivinginevyo, Kama wanichukia moyoni basi onesha usoni na kama wanipenda moyoni basi onesha usoni na si vinginevyo,Isiwe moyoni wanichukia alafu usoni wanichekea,Hii sanaa ni karama tuliyobarikiwa na Mungu tuitumie vyema kwa ajili ya utukufu wake maana ipo siku atatuuliza na kutudai, kama katupa bure basi anao uwezo wa kutuny'ang'anya pia''soma Wakorintho uone jinsi Mungu alivyogawa karama hizi na ni kwanini katugawia. alimalizia Kanumba. |














