
| Mshindi Fun Run Moshi kuzoa laki 2 | Send to a friend |
| Sunday, 05 February 2012 09:47 |
|
Sosthenes Nyoni Meneja matukio wa Vodacom, Rukia Mtingwa aliiambia Mwananchi Jumapili kuwa zawadi za mwaka huu zimeboreshwa zaidi ikilinganisha na mwaka jana ili kuleta msisimko zaidi na ushindani. Mbio za Fun Run ni miongoni mwa mbio zinazoshindaniwa katika mbio za kila mwaka za Kilimanjaro Marathon ambazo mwaka huu zitafanyika Februari 26 kwenye mji wa moshi mkoani Kilimanjaro. Mtingwa alisema kuwa mbali na fedha hizo, kutakuwa na zawadi kwa wakimbiaji wazee kwa mwanamke na mwanamke ambao kila mmoja atapata Sh100,000. Mbali na mbio hizo, Vodacom imekuwa ikidhamini mashindano mbalimbali ikiwemo mbio za mashua, majahazi, Ligi Kuu Bara, mashindano ya baiskeli na mikokoteni. |

Habari Mpya
Picha
Zenye Mvuto
- Nafasi za Kazi
- Links za wateja na washirika wetu
- Muswada wa madini waitoa jasho serikali
- Bi kizee asafari kilometa 50 kupinga hotuba ya JK, AMUONYA ASITUMIE MADARAKA YAKE VIBAYA
- Mishahara sekta binafsi Tucta yashtukia danganya toto
- Vigogo UVCCM wajiuzulu
- Mwinyi atetea ajira za wafanyakazi, ashauri utu uheshimiwe kudumisha Amani














