
| Angetile alazwa | Send to a friend |
| Sunday, 05 February 2012 09:48 |
|
Vicky Kimaro Kabla ya kupelekewa Muhimbili, Osiah alipelekwa hospital ya Agakhan na kupewa matibabu ya awali na kisha taratibu za kumhamishia zikafanyika. Taarifa za kuumwa na kulazwa kwake zilithibitishwa na mke pamoja na Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura. Alipoulizwa kuhusu ugonjwa unaomsumbua Osiah, alisema: "Mimi sijui anaumwa nini." Majibu kama hayo pia alitoa Wambura ambaye alikwenda hospitali kumjulia hali. Aidha, ndugu wa karibu wa Osiah aliyejitambulisha kuwa ni dada yake, alisema ndugu yake huenda amepatwa na ugonjwa wa Kiharusi ingawa hali yake si mbaya sana. "Hali yake ilibadilika ghafla jana asubuhi na mke wake kuamua kumkimbiza hospitali," alisema ndugu huyo. |

Habari Mpya
Picha
Zenye Mvuto
- Nafasi za Kazi
- Links za wateja na washirika wetu
- Muswada wa madini waitoa jasho serikali
- Bi kizee asafari kilometa 50 kupinga hotuba ya JK, AMUONYA ASITUMIE MADARAKA YAKE VIBAYA
- Mishahara sekta binafsi Tucta yashtukia danganya toto
- Vigogo UVCCM wajiuzulu
- Mwinyi atetea ajira za wafanyakazi, ashauri utu uheshimiwe kudumisha Amani














