Yaya Toure: Namna gani mkongwe huyu alivyokaribia kuichezea Arsenal

Yaya Toure anaingia katika historia ya mpira wa miguu wa Afrika kama moja ya wachezaji nguli barani humo. Alishinda mataji makubwa na vilabu vya Barcelona na Manchester City ikiwemo makombe ya ligi na klabu bingwa Ulaya.

Ingawa bado kipaji cha Toure ilibidi kiende katika njia tofauti kabisa mwaka 2003. Mshindi huyo wa taji la klabu bingwa Ulaya ilibakia kidogo angesajiliwa na Arsenal, kama asingeshinda Kombe la Ulaya (European Cup) na Blaugrana. Mashabiki wa mpira wanabishana ni timu gani inaweza kunyakua ubingwa wa Ulaya msimu huu.

Ligi hiyo ya mabingwa ilikuwa katika hatua ya kumi na sita bora na baada ya hapo robo fainali na mashabiki wanaweza kutumia msimbo wa Draftkings Promo kubashiri hatua ya robo fainali na timu wanazoamini zinaweza kutinga hatua ya nusu fainali.

Meneja wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger hakumfungia kazi Toure mwanzoni mwa miaka ya 2000. Ni miongoni mwa makosa machache ambayo meneja alifanya wakati wa kibarua chake katika viwanja vya Emirates.

Nini kilitokea wakati wa majaribio ya Yya Toure kujiunga na Arsenal?

Kolo Toure alikuwa mchezaji wa Arsenal mwaka 2002 na alicheza mecho 40 kwa kikosi hicho cha washika bunduki wa London.

Kuelekea mwishoni mwa msimu wa 2002-03, wakati Arsenal wakijiandaa na msimu unaofuata, mdogo wa Kolo Toure, Yaya aliletwa katika klabu hiyo kwa ajili ya majaribio.

Mashabiki wa Arsenal wanabishana aidha kikosi chao kitaweza au hakitaweza kucheza ligi ya mabingwa Ulaya. Mashabiki wanaweza kutuma msimbo wa Pala Casino Promo kubashiri mechi zijazo za washika mitutu hao na ratiba za mechi zijazo za ligi ambapo wanapambana kuingia katika saba bora.

Yaya Toure aliwahi kuchezea klabu ya Ubelgiji Beveren tangu mwaka 2001. Wakati huo, klabu hiyo ilikuwa ikitumika kama soko la kuleta wachezaji wa Ivory Coast kuja kucheza Ulaya na baadaye kuwapeleka katika vilabu vikubwa kama vile Arsenal.

Baada ya misimu miwili akiwa Beveren, Toure alijiunga na Arsenal kwa ajili ya mechi za matayarisho ya msimu akiwa na lengo la kupata nafasi katika timu kupitia majaribio. Akiwa na miaka 20, Toure hakuwa bado ameiva kuwa kiungo tegemezi kwa kipindi hicho.

Toure alicheza katika mchezo wa kujiandaa na msimu wa Arsenal dhidi ya Barnet na kushindwa kumshawishi Wenger na benchi la ufundi. Mchezaji huyo wa Ivory Coast alianza katika nafasi ya kiungo lakini alipata changamoto ya kuendana na kasi ya mchezo na hapo ndipo alipohamishiwa katika nafasi nyingine.

Kulingana na taarifa fupi iliyochapishwa katika tovuti ya Arsenal, iliweka wazi kutokuridhishwa kwake na kiwango alichoonesha Yaya Toure."Alionekana (Quincy Owusu-Abeiye) amekaribia mstari na kutengeneza krosi nzi

Alikwenda wapi Yaya Toure baada ya kushindwa Arsenal?

Yaya Toure aliamua kubadilisha mwelekeo na kwenda kujiunga na klabu ya Ukraine, iitwayo Metalurh Donetsk baada ya kushindwa kusajiliwa na Arsenal.

Toure alikaa miezi 18 klabuni, kabla ya kujiunga na Olympiacos, Monaco na baaadaye Barcelona.Wakati anajiunga na Barcelona 2007, alikuwa miongoni mwa viungo waliokuwa wanahitajika sana barani Ulaya, akifananishwa sana na Patrick Viera. Misimu baada ya kujiunga na miamba ya Catalunya, aliisaidia Barcelona kushinda taji la klabu bingwa.

Kama Toure angejiunga na Arsenal, wangekuwa wamepata mbadala wa muda mrefu wa Viera, lakini ni ngumu pia kusema kama angejiunga nao, soka lake lingefikia ukingoni kama ilivyokuwa mwaka 2003 alipojiunga na klabu hiyo.