Mwanzo Michezo Burudani Mama mzazi wa Isha Mashauzi afariki dunia Wednesday May 29 2019 Kwa ufupi Ni Rukia Juma, aliyekuwa mwanamuziki wa kundi la TOT Taarab na Mashauzi Classic Advertisement By Rhobi Chacha, MwananchiMmiliki na mwanamuziki wa kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani maarufu ‘Isha Mashauzi’ amepata pigo baada ya kumpoteza mama yake mzazi, Rukia Juma aliyefariki dunia leo Mei 29, mwaka 2019.Bi Rukia Jumaa ambaye pia alikuwa mwimbaji wa taarabu katika bendi ya Mashauzi Classsic na TOT Taarab, amefariki jioni hii njiani akiwa anapelekwa Hospitali ya Muhimbili.Kwa mujibu wa Abdul Said aliyejitambulisha kuwa ndugu wa karibu na familia hiyo, amsema Bi Rukia alikuwa anaumwa lakini alizidiwa na kufariki dunia akiwa njiani akipelekwa Hopitali ya Taifa Muhimbili.Said amesema kwa sasa Msiba upo nyumbani kwa Isha Mashauzi Kinondoni Hananasifu hadi itakapofika saa tatu msiba utapelekwa Mbezi kwa Msuguri alipokiwa akiishi Bi RukiaHili ni pigo kwa mwanamuziki Isha ambaye miaka minne iliyopita alimpoteza baba yake mzazi, Ramadhani Makongo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Mwanzo Michezo Burudani Mama mzazi wa Isha Mashauzi afariki dunia Wednesday May 29 2019 Kwa ufupi Ni Rukia Juma, aliyekuwa mwanamuziki wa kundi la TOT Taarab na Mashauzi Classic Advertisement By Rhobi Chacha, MwananchiMmiliki na mwanamuziki wa kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani maarufu ‘Isha Mashauzi’ amepata pigo baada ya kumpoteza mama yake mzazi, Rukia Juma aliyefariki dunia leo Mei 29, mwaka 2019.Bi Rukia Jumaa ambaye pia alikuwa mwimbaji wa taarabu katika bendi ya Mashauzi Classsic na TOT Taarab, amefariki jioni hii njiani akiwa anapelekwa Hospitali ya Muhimbili.Kwa mujibu wa Abdul Said aliyejitambulisha kuwa ndugu wa karibu na familia hiyo, amsema Bi Rukia alikuwa anaumwa lakini alizidiwa na kufariki dunia akiwa njiani akipelekwa Hopitali ya Taifa Muhimbili.Said amesema kwa sasa Msiba upo nyumbani kwa Isha Mashauzi Kinondoni Hananasifu hadi itakapofika saa tatu msiba utapelekwa Mbezi kwa Msuguri alipokiwa akiishi Bi RukiaHili ni pigo kwa mwanamuziki Isha ambaye miaka minne iliyopita alimpoteza baba yake mzazi, Ramadhani Makongo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Kwa ufupi Ni Rukia Juma, aliyekuwa mwanamuziki wa kundi la TOT Taarab na Mashauzi Classic Advertisement By Rhobi Chacha, MwananchiMmiliki na mwanamuziki wa kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani maarufu ‘Isha Mashauzi’ amepata pigo baada ya kumpoteza mama yake mzazi, Rukia Juma aliyefariki dunia leo Mei 29, mwaka 2019.Bi Rukia Jumaa ambaye pia alikuwa mwimbaji wa taarabu katika bendi ya Mashauzi Classsic na TOT Taarab, amefariki jioni hii njiani akiwa anapelekwa Hospitali ya Muhimbili.Kwa mujibu wa Abdul Said aliyejitambulisha kuwa ndugu wa karibu na familia hiyo, amsema Bi Rukia alikuwa anaumwa lakini alizidiwa na kufariki dunia akiwa njiani akipelekwa Hopitali ya Taifa Muhimbili.Said amesema kwa sasa Msiba upo nyumbani kwa Isha Mashauzi Kinondoni Hananasifu hadi itakapofika saa tatu msiba utapelekwa Mbezi kwa Msuguri alipokiwa akiishi Bi RukiaHili ni pigo kwa mwanamuziki Isha ambaye miaka minne iliyopita alimpoteza baba yake mzazi, Ramadhani Makongo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau