Upelelezi wa Sethi, Rugemalira bado, Takukuru yamhoji Sethi
Thursday November 8 2018

Kwa ufupi
Upelelezi wa kesi inayomkabili Harbinder Sethi na James Rugemalira katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haujakamilika na kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2018-11-08