Asilimia 98 ya mbegu za pamba yawafikia wakulima
Friday November 9 2018

Kwa ufupi
- Zaidi ya Sh4 bilioni kutumika kununua na kusambaza mbegu za pamba kwa wakulima na tayari asilimia 98 ya tani 12,000 za mbegu zimewafikia wakulima katika halmashauri 53 za mikoa 17 inayolima zao hili.