Kesi ya Halima Mdee yakwama tena
Tuesday September 11 2018

Kwa ufupi
Halima Mdee anakabiliwa na kesi hiyo akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi dhidi ya Rais John Magufuli Julai 3, 2017 katika Makao Makuu ya Ofisi ya Chadema iliyopo mtaa wa Ufipa wilaya ya Kinondoni .