Mwanzo Habari Kitaifa Diamond adhihirisha ufalme wake Kahama, amwaga noti kwa mashabiki Wednesday June 5 2019 Kwa ufupi Atua na helkopta, mashabiki wapagawa kwa noti alizomwaga barabarani Advertisement By Nasra Abdallah, MwananchiKwa zaidi ya saa 24 mji wa Kahama, Shinyanga umetawaliwa na mwanamuziki Diamond Platnumz ambaye leo atafanya onyesho lake la One Mic, One Man katika uwanja wa mpira wa Kahama.Katika maeneo mbalimbali ameonekana akifuatwa na msafara wa bodaboda, bajaji, magari na waendao kwa miguu wakimshangilia huku wakisema ‘Simba’, ‘Simba’, ‘Simba’.Jana aliwasili katika mji huo kwa usafiri wa helkopta na kutua katika Kijiji cha Masumbwe ambapo alilakiwa na mamia wa mashabiki.Katika kusherehesha mkusanyiko huo, Diamond alifungua burungutu la noti na kuanza kuzimwaga kwa mashabiki hali iliyougeuza eneo hilo kufunikwa kwa vumbi kutokana na mashabiki kuzirukia kila mmoja akijaribu bahati yake.Mwanamuziki huyo anayetamba na wimbo Inama, katika Uwanja wa Kahama jana alimwaga noti kwa mashabiki waliofika kumshuhudia ikiwa ni takribani saa 24 kabla ya onyesho lake hilo la kwanza katika Mji huo katika kipindi cha miaka saba.Meneja wa mwanamuziki huyo, Babu Tale amesema WCB ilitenga fedha nyingi kwaajili ya onyesho hilo na lengo kubwa likiwa ni kurudisha shukrani kwa jamii. Pia Soma Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho VIDEO: Mchungaji Rwakatare atoa ujumbe wa mwaka 2020 Ngema yaua wachimba Ruby wawili Shule aliyosoma Mwalimu Nyerere kukarabatiwa Advertisement Amesema mbali na fedha zilioonekana wazi, Diamond ametoa misaada ikiwamo katika kituo kinacholea watoto wenye ualbino, Buhangija.“Ukipiga hesabu za kila kitu tulichofanya tangu mwanzo mpaka sasa unaweza kuta inafika Sh100 milioni lakini hilo sio muhimu kwetu, kikubwa ni kurudisha fadhila kwa jamii ambayo imemuunga mkono msanii wetu miaka mingi,” alieleza.Diamond pia aliandaa futari maalumu jana jioni ambayo iliwakutanisha watu mbalimbali katika mji huo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Mwanzo Habari Kitaifa Diamond adhihirisha ufalme wake Kahama, amwaga noti kwa mashabiki Wednesday June 5 2019 Kwa ufupi Atua na helkopta, mashabiki wapagawa kwa noti alizomwaga barabarani Advertisement By Nasra Abdallah, MwananchiKwa zaidi ya saa 24 mji wa Kahama, Shinyanga umetawaliwa na mwanamuziki Diamond Platnumz ambaye leo atafanya onyesho lake la One Mic, One Man katika uwanja wa mpira wa Kahama.Katika maeneo mbalimbali ameonekana akifuatwa na msafara wa bodaboda, bajaji, magari na waendao kwa miguu wakimshangilia huku wakisema ‘Simba’, ‘Simba’, ‘Simba’.Jana aliwasili katika mji huo kwa usafiri wa helkopta na kutua katika Kijiji cha Masumbwe ambapo alilakiwa na mamia wa mashabiki.Katika kusherehesha mkusanyiko huo, Diamond alifungua burungutu la noti na kuanza kuzimwaga kwa mashabiki hali iliyougeuza eneo hilo kufunikwa kwa vumbi kutokana na mashabiki kuzirukia kila mmoja akijaribu bahati yake.Mwanamuziki huyo anayetamba na wimbo Inama, katika Uwanja wa Kahama jana alimwaga noti kwa mashabiki waliofika kumshuhudia ikiwa ni takribani saa 24 kabla ya onyesho lake hilo la kwanza katika Mji huo katika kipindi cha miaka saba.Meneja wa mwanamuziki huyo, Babu Tale amesema WCB ilitenga fedha nyingi kwaajili ya onyesho hilo na lengo kubwa likiwa ni kurudisha shukrani kwa jamii. Pia Soma Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho VIDEO: Mchungaji Rwakatare atoa ujumbe wa mwaka 2020 Ngema yaua wachimba Ruby wawili Shule aliyosoma Mwalimu Nyerere kukarabatiwa Advertisement Amesema mbali na fedha zilioonekana wazi, Diamond ametoa misaada ikiwamo katika kituo kinacholea watoto wenye ualbino, Buhangija.“Ukipiga hesabu za kila kitu tulichofanya tangu mwanzo mpaka sasa unaweza kuta inafika Sh100 milioni lakini hilo sio muhimu kwetu, kikubwa ni kurudisha fadhila kwa jamii ambayo imemuunga mkono msanii wetu miaka mingi,” alieleza.Diamond pia aliandaa futari maalumu jana jioni ambayo iliwakutanisha watu mbalimbali katika mji huo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Kwa ufupi Atua na helkopta, mashabiki wapagawa kwa noti alizomwaga barabarani Advertisement By Nasra Abdallah, MwananchiKwa zaidi ya saa 24 mji wa Kahama, Shinyanga umetawaliwa na mwanamuziki Diamond Platnumz ambaye leo atafanya onyesho lake la One Mic, One Man katika uwanja wa mpira wa Kahama.Katika maeneo mbalimbali ameonekana akifuatwa na msafara wa bodaboda, bajaji, magari na waendao kwa miguu wakimshangilia huku wakisema ‘Simba’, ‘Simba’, ‘Simba’.Jana aliwasili katika mji huo kwa usafiri wa helkopta na kutua katika Kijiji cha Masumbwe ambapo alilakiwa na mamia wa mashabiki.Katika kusherehesha mkusanyiko huo, Diamond alifungua burungutu la noti na kuanza kuzimwaga kwa mashabiki hali iliyougeuza eneo hilo kufunikwa kwa vumbi kutokana na mashabiki kuzirukia kila mmoja akijaribu bahati yake.Mwanamuziki huyo anayetamba na wimbo Inama, katika Uwanja wa Kahama jana alimwaga noti kwa mashabiki waliofika kumshuhudia ikiwa ni takribani saa 24 kabla ya onyesho lake hilo la kwanza katika Mji huo katika kipindi cha miaka saba.Meneja wa mwanamuziki huyo, Babu Tale amesema WCB ilitenga fedha nyingi kwaajili ya onyesho hilo na lengo kubwa likiwa ni kurudisha shukrani kwa jamii. Pia Soma Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho VIDEO: Mchungaji Rwakatare atoa ujumbe wa mwaka 2020 Ngema yaua wachimba Ruby wawili Shule aliyosoma Mwalimu Nyerere kukarabatiwa Advertisement Amesema mbali na fedha zilioonekana wazi, Diamond ametoa misaada ikiwamo katika kituo kinacholea watoto wenye ualbino, Buhangija.“Ukipiga hesabu za kila kitu tulichofanya tangu mwanzo mpaka sasa unaweza kuta inafika Sh100 milioni lakini hilo sio muhimu kwetu, kikubwa ni kurudisha fadhila kwa jamii ambayo imemuunga mkono msanii wetu miaka mingi,” alieleza.Diamond pia aliandaa futari maalumu jana jioni ambayo iliwakutanisha watu mbalimbali katika mji huo. Advertisement In the headlines Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau
Chadema yafafanua uamuzi wa kushiriki sherehe za Uhuru kesho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetetea uamuzi wake wa kushiriki maadhimisho ya Rais Magufuli, Mama Samia, viongozi mbalimbali walivyopokea kifo cha Bilionea Ali Mufuruki Kufuatia kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60) kilichotokea leo Afrika Kusini alikokuwa Ulinzi wa kufa mtu tamasha la Fiesta Uwanja wa Uhuru Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki amefariki dunia VIDEO: Seth kuzikwa saa kumi kesho makaburi ya Kinondoni Magufuli: Vya bure vina madhara yake VIDEO: Abiria wafurahia usafiri wa treni Moshi- Dar Tukio la Simba kujeruhi mtu na kuua ng’ombe 10 laizindua Wizara, yaita wadau