Zuma ataka ANC impe sababu za kujiuzulu
Wednesday February 14 2018

Kwa ufupi
Katika mahojiano na Shirika la Utangazaji la SABC Jumatano katika makazi yake rasmi huko Pretoria, Mahlamba Ndlofu, Zuma alisema atajiuzulu tu ikiwa uongozi wa ngazi ya juu wa ANC utamjulisha makosa aliyofanya.