UDSM kufanya utafiti nyayo za binadamu wa kale
Thursday July 12 2018

Kwa ufupi
Makumbusho ya Olduvai Gorge yaliyopo katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha baadhi ya vilivyomo ndani yake ni nyayo za binadamu wa kwanza na fuvu la binadamu wa kale.