Mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited Salum Shamte afariki dunia

Mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited Salum Shamte amefariki dunia katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), alikokuwa akipatiwa matibabu, mkewe Mariamu Shamte amethibitisha

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mtandao huu wa www.mwananchi.co.tz

SOMA ZAIDI