Mkurugenzi Mtendaji Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Francis Nanai akizungumza katika mkutano wa wadau wa zao la alizeti unaofanyika mkoani Singida, leo. Kauli mbio ya mkutano huu ni zalisha alizeti kwa uhakika wa mafuta ya kula, kipato na maendeleo ya viwanda. Picha na Edwin Mjwahuzi