Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Profesa Janabi ashinda kwa kishindo WHO

New Content Item (1)

Mwakilishi wa Tanzania katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohammed Janabi ameshinda kwa kishindo nafasi hiyo.

Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, ametetea nafasi hiyo ambayo ilikuwa ikishikiliwa na Tanzania kabla ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile. Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.