🔴#LIVE: Matokeo uchaguzi CCM
Muktasari:
Uchaguzi huo umefanyika leo Jumatano Desemba 7, 2022 kwenye mkutano mkuu wake wa 10, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Matokeo ya uchaguzi wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM)yakitangazwa.
Uchaguzi huo umefanyika leo Jumatano Desemba 7, 2022 kwenye mkutano mkuu wake wa 10, katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.