Mkurugenzi wa televisheni ya TVE na Redio EFM, Francis Ciza maarufu Majizo ambaye ni mume wa mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amempongeza mkewe kwa namna alivyovumilia kejeli za...
Mwanamuziki gwiji, Tina Turner ni gumzo la moja ya mafanikio makubwa kuwahi kutokea, lakini anawaeleza watengenezaji wa filamu ya maisha yake...
Mwanamuziki Lady Gaga ametangaza donge nono la Dola 500,000 za Marekani (Sh1.1 bilioni) kwa mtu yeyote atakayesaidia kupatikana kwa mbwa wake...
Abubakar Katwila maarufu Q Chief amewaomba radhi mashabiki na wadau wa muziki nchini Tanzania kwa kutoa lugha chafu dhidi ya msanii mwenzake...
Alikiba, mkali wa muziki wa Bongofleva anayetamba na wimbo wa Infidele amejirekodi video akicheza na kuimba baadhi ya nyimbo za wasanii wenzake...