ePaper
  • Africa Edition
  • Kenya Edition
  • Uganda Edition

Search
Log in Sign up
My Account
  • Personal details
  • Change password

Picha Picha

Search
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • Biashara
    • Makala
  • Michezo
    • Burudani
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Zanzibar
  • Ajira
  • Notisi
    • Zabuni
  • Editions

    • Africa
    • Kenya
    • Uganda
    • Mwananchi

  • ePaper

    • Mwananchi

Picha

Bungeni leo Jumatatu Mei 30, 2022

Jumanne, Oktoba 04, 2022

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM), Kenani Kihongosi akiwa amesimama wakati akitambulishwa bungeni alipotembelea, wakati wabunge wakiendelea na kikao cha 33 cha mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma leo Jumatatu Mei 30, 2022. Kihongosi alishangiliwa sana na wabunge wakati akitambulishwa huku ikiwa ni siku chache toka Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo alipomtuhumu kiongozi huyo wa UVCCM kwa kujihusisha na rushwa. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 1/6   

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima akiwasilisha bungeni makadiro ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Gwajima ameliomba Bunge limpitishie bajeti ya wizara hiyo kiasi cha Sh43.4 bilioni. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 2/6   

Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu akizungumza bunge alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa mwaka wa fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Jesca ameitaka jamii kuwalinda watoto wa kiume ili kutunza mbegu ya kiume ya kitanzania, kutokana na matukio ya kikatili wanayofanyiwa baadhi ya watoto hao ikiwemo kulawitiwa. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 3/6   

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh (katikati) akiwa ndani ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wakiendelea na kikao cha 33 cha mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 4/6   

Mbunge wa Kuteuliwa, Profesa Shukrani Manya akizungumza bunge alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa mwaka wa fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Profesa Manya ameitaka Serikali kuchukua hatua dhidi ya kelele zinazotokana na burudani nyakati za usiku katika maeneo ya makazi ya watu kwani zinaleta madhara kwenye familia nyingi ikiwemo afya ya akili. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 5/6   

Wabunge wa zamani, Angellah Kairuki (kushoto) na Sophia Simba wakijadiliana jambo ndani ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge walipokuwa wakiendelea na kikao cha 33 cha mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 6/6   

Thank you for reading Nation.Africa

Show plans

Join the discussion

Commenting as user.name Please add your name to your Nation profile to comment

In the headlines

  • Habari
  • Michezo
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Zanzibar
  • Ajira
  • Notisi
  • Mgawo wa maji watikisa mijini, vijijini

    Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea...

    Kitaifa Oct 05, 2022
  • Bei ya mafuta yazidi kushuka

    Bei ya mafuta imeendelea kushuka, baada ya Ewura kutangaza bei mpya kuanzia kesho, ambapo lita moja ya petroli itauzwa Sh2, 886, dizeli Sh3083 na mafuta ya taa Sh3, 275 kwa lita.

    Kitaifa Oct 04, 2022
  • Rais Samia aomba mjadala changamoto bunifu sekta ya afya

    Rais Samia Suluhu Hassan ameziomba Jumuiya ya Kimataifa kujadili changamoto tatu zinazorudisha nyuma juhudi za kufanya bunifu kwenye sekta ya afya

    Kitaifa Oct 04, 2022

All
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • Biashara
    • Makala
  • Michezo
    • Burudani
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Zanzibar
  • Ajira
  • Notisi
    • Zabuni
  • ePaper
  • Contact us
  • Web Mail
  • Frequently asked questions
  • NMG Privacy Policy
  • Terms of use
  • Terms and Conditions of Use
  • Our Blog Rules

Nation Media Group © 2023

Decoration