Picha Chaumma yapokea makada wengine 3,000 wa Chadema Jumatano, Mei 21, 2025 Hali ya ilivyokuwa katika hafla ya Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepokea wanachama wapya zaidi ya 3,000 waliokihama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Photo: 1/8 View caption Photo: 2/8 View caption Photo: 3/8 View caption Photo: 4/8 View caption Photo: 5/8 View caption Photo: 6/8 View caption Photo: 7/8 View caption Photo: 8/8 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Mama adaiwa kuwaua wanaye wawili, mgogoro wa familia watajwa Mary Mushi (26), mkazi wa Kijiji cha Mungushi, Hai mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuwaua wanawe wawili, mmoja wa miaka minne na mwingine wa miezi sita, kisha kujijeruhi, chanzo kikitajwa ni mgogoro...
PRIME Mwanza inavyojipanga kushindana na Dar kiuchumi Licha ya kuwa mkoa wa pili kwa kuchangia pato la Taifa (GDP) kwa asilimia 7.2, nyuma ya Dar es Salaam inayoongoza kwa asilimia 14, Serikali imeweka mkakati mahsusi wa kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa...
PRIME Rais Samia azindua daraja la JPM, Tanzania ikiandika historia Historia imeandikwa! Hiyo ndio kauli inayoweza kutumika kujumuisha yote kuanzia wazo la mradi, utekelezaji, kukamilika hadi kuzinduliwa kwa daraja la JPM, maarufu kama Kigongo-Busisi.