Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 kutoka kwa Makamu wa Rais wa Sekta Binafsi, Miundombinu na Viwanda kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Solomon Quaynor kwa niaba ya Rais wa Benki hiyo, Dk Akinumwi Adesina.