Picha Wahandisi 274 wa (AED) wakila kiapo Ijumaa, Septemba 06, 2024 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (kushoto) akishuhudia Wahandisi 274 wa (AED) wakila kiapo katika Mkutano wa Mwaka uliyoandaliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi Tanzania ERB uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. Picha na Sunday George Photo: 1/4 View caption Photo: 2/4 View caption Photo: 3/4 View caption Photo: 4/4 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Maswali magumu ya Mstaafu yanapokosa majibu rahisi Tumemshtua Mheshimiwa Rais aliyepo madarakani atafute jibu ya nini kimetokea hadi nyongeza ya pensheni yetu iishie kwenye makaratasi tu na sio mifukoni mwetu.
PRIME Ghorofa mbili stendi ya Magufuli ziko tupu kwa miaka minne Ikiwa imetimiza siku 1,087 tangu Stendi ya Magufuli kuanza kutumika, eneo la chini stendi hiyo lenye ghorofa mbili halijawahi kutumika, uchunguzi wa Mwananchi umebaini.
PRIME Bodi ya Ligi: Yanga kwenda Cas ni kichekesho Bodi ya Ligi Kuu Bara imesema kama Yanga kweli imeenda Cas kudai pointi tatu za mezani, ni jambo la kuchekesha