ePaper

Tafuta

Picha Picha

Search
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • Biashara
    • Makala
  • Michezo
    • Burudani
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
    • Zabuni

  • ePaper

    • Mwananchi

Picha

Waziri Mkuu na baadhi ya wabunge wakiwa bungeni

Jumanne, Oktoba 04, 2022

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali ya wabunge wakati wa kikao cha nane cha mkutano wa sita wa Bunge, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 1/4   

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete (kulia) akipeana tano na Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira), Patrobas Katambi wakati wakijadiliana jambo walipohudhuria kikao cha nane cha mkutano wa sita wa Bunge, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 2/4   

Mbunge wa Nzega Vijijini, Dk Hamisi Kigwangalla akijadiliana jambo na Mbunge wa Same Magharibi, Dk David Mathayo walipohudhuria kikao cha nane cha mkutano wa sita wa Bunge, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 3/4   

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Stanslaus Nyongo akiwasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa majukumu na shughuli kwa mwaka 2021, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Photo: 4/4   

Thank you for reading Nation.Africa

Show plans

Habari kuu

  • Habari
  • Michezo
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
  • Mgawo wa maji watikisa mijini, vijijini

    Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea...

    Kitaifa Okt 05
  • Bei ya mafuta yazidi kushuka

    Bei ya mafuta imeendelea kushuka, baada ya Ewura kutangaza bei mpya kuanzia kesho, ambapo lita moja ya petroli itauzwa Sh2, 886, dizeli Sh3083 na mafuta ya taa Sh3, 275 kwa lita.

    Kitaifa Okt 04
  • Rais Samia aomba mjadala changamoto bunifu sekta ya afya

    Rais Samia Suluhu Hassan ameziomba Jumuiya ya Kimataifa kujadili changamoto tatu zinazorudisha nyuma juhudi za kufanya bunifu kwenye sekta ya afya

    Kitaifa Okt 04

All
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
    • Biashara
    • Makala
  • Michezo
    • Burudani
  • Kolamu
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
    • Zabuni
  • ePaper
  • Contact us
  • Web Mail
  • Frequently asked questions
  • NMG Privacy Policy
  • Terms of use
  • Terms and Conditions of Use
  • Our Blog Rules

Mwananchi © 2023

Decoration