Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu (katikati) akila kiapo cha utii na uaminifu mbele ya Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson (kushoto) baada ya kuchaguliwa na wabunge kushika wadhifa huo, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi
Photo: 1/4
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu akiwa amekaa baada ya kuchaguliwa na wabunge kushika wadhifa huo, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi
Photo: 2/4
Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu akivishwa joho baada ya kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi
Photo: 3/4
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu baada ya kuchaguliwa na wabunge kushika wadhifa huo, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi