Chumi ataja namna ya kuzuia mfumuko wa bei
Mbunge Wa jimbo la Mafinga Mjini, Cosato Chumi ameshauri Serikali kusitisha kuagiza bidhaa kutoka nje ambazo zinaweza kutengenezwa hapa nchini.
Mbunge Wa jimbo la Mafinga Mjini, Cosato Chumi ameshauri Serikali kusitisha kuagiza bidhaa kutoka nje ambazo zinaweza kutengenezwa hapa nchini.