Majaliwa ang’aka upotoshaji Loliondo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa vijijini 14 vilivyopo katika eneo la Loliondo kutulia kwasababu hakuna kazi yoyote ya kuwaondoa katika maeneo yao.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa vijijini 14 vilivyopo katika eneo la Loliondo kutulia kwasababu hakuna kazi yoyote ya kuwaondoa katika maeneo yao.