Polisi: Chanzo ajali iliyoua 14 Simiyu ni mwendokasi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limesema chanzo cha ajali iliyotokea leo wilayani Busega mkoani Simiyu na kusababisha vifo vya watu 14 ni mwendokasi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limesema chanzo cha ajali iliyotokea leo wilayani Busega mkoani Simiyu na kusababisha vifo vya watu 14 ni mwendokasi.