VIDEO: Chadema watetea mazungumzo yao na CCM
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema uamuzi wake wa kuzungumza na Chama Cha Mapinduzi (CCM) umebarikiwa vikao vya kikatiba vya chama hicho, hivyo hakitarajii kupoteza wafuasi kwa hilo.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema uamuzi wake wa kuzungumza na Chama Cha Mapinduzi (CCM) umebarikiwa vikao vya kikatiba vya chama hicho, hivyo hakitarajii kupoteza wafuasi kwa hilo.