VIDEO: Watatu washikiliwa na Polisi Kilimanjaro kwa mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua aliyekuwa muuguzi mstaafu wa Hospitali ya rufaa ya KCMC, Patricia Paul (66).
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua aliyekuwa muuguzi mstaafu wa Hospitali ya rufaa ya KCMC, Patricia Paul (66).