Watu 68 mbaroni kwa makosa ya uhamiaji Mwanza
Idara ya Uhamiaji mkoani Mwanza inawashikilia raia 68 wa Ethiopia kwa makosa ya kuingia nchini kinyume na utaratibu.
Idara ya Uhamiaji mkoani Mwanza inawashikilia raia 68 wa Ethiopia kwa makosa ya kuingia nchini kinyume na utaratibu.