Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

930 results for Hawa Mathias :

  1. Sh700 milioni zatolewa kwa vikundi Mbeya, wafujaji mikopo waonywa

    Vikundi 32 vya wajasiriamali, maofisa usafirishaji na wakulima Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wamenufaika na mkopo wa zaidi ya Sh700 milioni kutoka halmashauri ya wilaya ikiwa ni sehemu ya...

  2. PRIME Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa-4

    Watu saba walishtakiwa kwa kosa moja la kumuua kwa makusudi, mfanyabiashara wa madini, mazao ya biashara na mavazi, Mussa Hamis, Mkazi wa Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi.

  3. PRIME Mshikemshike uchukuaji fomu CCM

    Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada...

  4. Wananchi Mbeya walilia kukamilishwa kwa barabara ya Ilembo - Sapanda

    Wananchi wa vijiji vya pembezoni mwa barabara ya Ilembo—Mwala—Sapanda, kikiwepo Kijiji cha Ilembo, Wilaya ya Mbeya, wameutaka Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) kukamilisha kwa...

  5. Wanaonyanyasa wanawake wajane, kufanya ukatili jinsia waonywa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji vinavyotendeka dhidi ya wanawake wajane nchini.

  6. Watahadharishwa kuchunga ndimi zao kuelekea uchaguzi mkuu

    Hayo yamebainishwa leo Juni 23, 2025 na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (Mnec) Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela wakati akifungua kongamano la maombi na maombezi ya kumuombea Rais Samia Suluhu...

  7. Mbaroni akituhumiwa kula njama kumuua mama yake mzazi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Steven Kipara (38), mkazi wa Ipwizi Wilaya ya Mbeya kwa tuhuma za kupanga njama na kukodi watu kwa lengo la kumuua mama yao mzazi Kweli Lugembe (75)...

  8. Mwanafunzi wa Must mbaroni, mauaji ya mwenzake wakiwa 'Club'

    Amesema baada ya marehemu kubainika kudhurika ndipo wasamaria wema walimbeba na kumuwahisha katika Hospitali ya Rufaa Kanda kwa matibabu zaidi.

  9. Parachichi larejesha tabasamu wanafunzi waliotembea umbali mrefu

    Katika mkutano huo Homera alitoa ombi la kuwataka wanunuzi kukatwa Sh200 za mauzo kwa ajili ya kuchangia ujenzi huo jambo ambalo lilikubaliwa.

  10. Mapato Halmashauri ya Rungwe yaongezeka hadi Sh8.6 bilioni

    Homera amesema alipoteuliwa kushika wadhifa huo, halmashauri hiyo ilikuwa ikikusanya Sh4.5 bilioni, lakini sasa imeongeza umakini wa ushirikishwaji na kufikia Sh8.6 bilioni kwa kipindi cha miaka...

Page 1 of 93

Next