Search

185 results for Bertha Ismail :

  1. PRIME Operesheni ya tozo ya huduma yaibua mapya Arusha

    Ni malalamiko kwa wamiliki wa maduka eneo la Stendi ndogo Arusha wanapewa makadirio makubwa tozo ya huduma inayoambatana na madeni ya miaka ya nyuma yanayoathiri biashara zao.

  2. Kamati ya Bunge yacharuka, yataka makandarasi wazembe wanyimwe miradi

    Mwenyekiti wa Kamati ya PIC, Deus Sangu amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha REA wanasimamia vyema jukumu la kuhakikisha nishati ya umeme inafika katika vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara...

  3. Unyanyapaa kikwazo wanawake kutibiwa uraibu dawa za kulevya

    Unyanyapaa unahitaji kushughulikiwa ili kuwawezesha wanawake kupata tiba na msaada unaohitajika.

  4. Takukuru yataka wanawake kupinga rushwa ya ngono

    Imeelezwa kuwa suluhisho la kukomesha rushwa ya ngono dhidi ya wanawake ni wanamke wenyewe.

  5. Tanroads kuanza ujenzi wa njia nne Arusha kukabiliana na msongamano

    Barabara zinazoingia na kutoka Arusha kuelekea maeneo mbalimbali, zimeongeza msongamano

  6. Marekani yaisaidia Tanzania vifaa vya utafiti wa wanyamapori

    Msaada huo ni mwendelezo wa ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani kuhifadhi bionuwai kwa ajili ya viumbe hai chini ya mradi wa tuhifadhi maliasili

  7. Somalia yatambuliwa rasmi EAC, viongozi kuvalia njuga migogoro

    Somalia rasmi mwanachama wa EAC baada ya kukabidhi nyaraka za kujiunga. EAC sasa ina nchi nane wanachama. Yajitolea kufuata sheria na kuchangia maendeleo ya jumuiya.

  8. Takukuru Arusha yaokoa miradi ya Sh3.8 bilioni

    Yabaini ucheleweshaji miradi kwa siku zaidi ya 30, mkurugenzi wa halmashauri atoa ufafanuzi

  9. Jaji Kiongozi ataka maofisa wa Mahakama kuchukuliwa hatua

    Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustafa Siyani amesema upo umuhimu mkubwa wa maofisa wa Mahakama kuchukuliwa hatua za kinidhamu wanapokiuka maadili ya kazi zao.

  10. Dakika 90 za mvua maandamano ya Chadema

    Licha ya uwepo wa mvua hiyo, na baadhi ya watu kulazimika kutafuta maeneo ya kujisitiri, viongozi na wafuasi wengine waliendelea kuandamana huku wakinyeshewa mvua

Previous

Page 2 of 19

Next