Adaiwa kujiteka ili apate fedha ya kulipa deni Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa kutoa taarifa za ndugu yake aitwaye Dickson Peter Mungulu kutekwa baada ya kupokea ujumbe mfupi simu...
Serikali kufufua mashamba ya maua, mbogamboga na matunda Arusha Serikali mkoani hapa itashirikiana na wadau mbalimbali kutafuta ufumbuzi wa mashamba makubwa yaliyosimamisha uzalishaji wa mazao ya maua, mbogamboga na matunda ili kurejesha ajira zilizopotea na...
Katibu mkuu EAC, Balozi Kazungu wajadiliana kuimarisha ushirikiano Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC),Dk Peter Mathuki amefanya mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu kuhusu mambo muhimu yanayohusu mtangamano ya jumuiya hiyo.
Adakwa na polisi akituhumiwa kusimamia kiwanda cha kutengeneza gongo Jeshi la Polisi mkoani Arusha limemkamata mwanamke mwenye umri wa miaka 31 mkazi wa Sakina kwa tuhuma za kusimamia kiwanda bubu kinachotengeneza pombe inayodhaniwa kuwa gongo.
Mchengerwa kukutana na makatibu muhtasi nchini Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohammed Mchengerwa anatarajiwa kufungua mkutano wa nane wa mwaka wa Chama cha Makatibu Muhtasi nchini (Tapsea) kesho...
TCRA: Leteni mapendekezo kuboresha kanuni za maudhui mtandaoni Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wadau wenye mapendekezo yatakayosaidia kuboresha mabadiliko ya kanuni za maudhui mtandaoni mwaka 2018 kuyawasilisha ili yafanyiwe kazi.kuliwe...
Waandishi wa habari waaswa kufanya kazi kwa weledi Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini(THRDC) umesema wakati wadau mbalimbali wakiendelea kupigania mabadiliko ya sheria zinazokandamiza uhuru wa kujieleza kwa njia ya mitandao, waandishi...
Katibu mkuu mpya EAC kuanza kazi Ijumaa Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Adan Mohamed atasimamia makabidhiano ya ofisi kati ya katibu mkuu mpya wa jumuiya hiyo, Dk Peter Mathuki na mtangulizi...
Dk Hoseah ageukia dhamana kesi uhujumu uchumi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dk Edward Hoseah amesema atashirikiana na baraza la uongozi wa chama hicho kushawishi mabadiliko ya sheria zinazowanyima dhamana watuhumiwa na...
Dk Hoseah kuanza na utawala wa sheria TLS Rais mteule wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk Edward Hoseah ameahidi kutumia nafasi yake kuishauri Serikali, mahakama na Bunge kuhusu utawala wa sheria ili wananchi watumikiwe bila...