Search

712 results for Herieth Makwetta :

  1. Mbu hatari wa malaria anyemelea

    Takwimu kutoka hospitali katika maeneo yaliyoathiriwa na mbu huyo zimeonyesha kuongezeka kwa wagonjwa wa malaria nje ya msimu wa kawaida wa ugonjwa huo.

  2. Dk Ndugulile ateuliwa IPU kushauri masuala ya afya

    Dk Ndugulile ni daktari mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25 kwenye afya ya jamii ndani na nje ya nchi.

  3. Serikali yaja na mwarobaini udhalilishaji wanawake mitandaoni

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ipo mbioni kubadili sheria za mtandao, ikiwa ni pamoja na kuboresha Kitengo cha SyberCrime (Uhalifu wa Kimtandao) kwani udhalilishaji ni miongoni mwa...

    New Content Item (1)
  4. Kutana na daktari bingwa wa kwanza mwanamke Tanzania

    Profesa Mwaikambo, ambaye pia ni mwanzilishi wa Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (Mewata) anasema haikuwa rahisi, kwani njia yake ilijaa miba na hata alipofanikisha kupenya bado alikumbana...

  5. Serikali kuajiri wahudumu ngazi ya jamii 15,000

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Tanzania tayari inayo muundo wa utumishi (Scheme of Service) unaoitambua kada ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii na kwamba inatarajia kuajiri watumishi 15,000...

  6. Afrika yatoa maazimio mustakabali wa afya

    Viongozi wa sekta za afya Afrika wamekubaliana kuwa na kauli moja kulisemea bara katika mustakabali wa changamoto mbalimbali ambazo bara hilo linakabiliana nazo kwa sasa ikiwemo matokeo ya...

  7. Asha Baraka 'The Iron Lady' asiyekubali kushindwa

    Desemba 17 mwaka jana, bendi kongwe ya muziki wa dansi nchini, African Stars ‘Twanga Pepeta’ ilizindua albamu yake ya 15 ‘Twanga Pepeta Forever’ ikiwa ni miaka 24 imepita tangu kuanzishwa kwake.

  8. Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila, Jesca Kishoa

    Kituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirathi na Ndoa, Temeke kimeivunja rasmi ndoa kati ya wanasiasa machachari David Kafulila na Jesca Kishoa kupitia shauri la ndoa No 217 ya 2022.

  9. Samia awapiga ‘stop’ mawaziri kuajiri maofisa habari binafsi

    Rais Samia Suluhu Hassan amewataka mawaziri kuwajibika katika kujibu upotoshaji unaojitokeza kuhusu taarifa za Serikali.

  10. Ndugu wa aliyegongwa ajali ya mwendokasi wajitokeza

    Siku sita baada ya Osam Milanzi kugongwa katika ajali mbaya ya mwendokasi iliyotokea katikati ya makutano ya barabara ya Kisutu, familia yake akiwemo mkewe wamemtambua baada ya kumtafuta kwa...

Previous

Page 2 of 72

Next