Search

873 results for Herieth Makwetta :

  1. 70 wajitokeza kuongezwa shepu Mloganzila

    Hospitali ya Taifa Muhimbili – Upanga, inatarajia kuanza rasmi upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) wa kuongeza shepu (makalio) Desemba 10, 2023, ikiwa ni awamu ya pili baada...

  2. Madanguro 700 yavunjwa Dar

    Mkoa wa Dar es Salaam umevunja madanguro 700 ikiwa ni kupambana na mmomonyoko wa maadili na maambukizi ya magonjwa ya ngono.

  3. Ongezeko magonjwa ya ngono, homa ini yaiamsha Serikali

    Kutokana na ongezeko la magonjwa ya ngono na homa ya ini nchini, Wizara ya Afya nchini Tanzania, imezindua Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi, Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini (NASHCoP), ili...

  4. PRIME Sababu wanaofariki wakiongezwa makalio zatajwa

    Wataalamu bingwa wa upasuaji wa kurekebisha maumbile nchini, wametaja sababu tatu zinazoweza kusababisha anayepatiwa huduma ya kuongeza shepu na makalio kufariki dunia.

  5. Wanawake kujengewa uwezo masomo ya sayansi

    Katika kuiongezea nguvu programu ya 'Code like a Girl' inayohamasisha kujifunza masomo ya sayansi (STEM), UN Women Tanzania limesaini makubaliano na Tigo Tanzania ili kuongeza ujuzi wa kidijitali...

  6. Hospitali ya Temeke kuanza ujenzi wa  ghorofa

    Serikali kupitia Wizara ya Afya tayari imetenga Sh7.9 bilioni kuanza ujenzi wa upanuzi wa Hospitali ya Rufaa ya Temeke kwa kujenga majengo ya kwenda juu (ghorofa), ili kupambana na changamoto ya...

  7. Changamoto ya usambazaji dawa, rufaa za wagonjwa Ludewa

    Changamoto za kijiografia zilizopo katika Wilaya ya Ludewa zimekuwa zikisababisha ugumu wa kufikisha dawa katika vituo vya afya pamoja na kusafirisha wagonjwa hasa wanapopata rufaa kutoka vituo...

  8. Tanzania hupoteza Sh5.6 trilioni kila mwaka kwa kujisaidia vichakani

    Tanzania inakadiriwa kupoteza takribani Sh5.6 trilioni kila mwaka kutokana na gharama za matibabu ya magonjwa, muda wa uzalishaji mali kupotea kwa sababu ya kuuguza au kuugua magonjwa...

  9. Hizi hapa sababu watoto kususa kunyonya

    Wakati takwimu zikionyesha idadi kubwa ya watoto wanazidi kukataa kunyonya ziwa la mama kabla ya kutimiza miezi 24, ripoti imeanika kuwa asilimia 50 hukataa ziwa wakifikisha miezi mitano.

  10. Rais Samia atunuku kamisheni maofisa 724

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni maofisa wanafunzi 724 wakiwemo wanawake 89 kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha.

Previous

Page 2 of 88

Next