WHO yatoa neno jitihada za Tanzania kufikia ajenda ya afya kwa wote
Amesema Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vya uzazi, juhudi za kufikia kila mtoto kwa chanjo, na kupambana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, Kifua Kikuu, homa ya ini, Malaria, na...