Search

969 results for Herieth Makwetta :

  1. Wabuni mashine inayotoa tiba nne kwa watoto njiti

    Mashine hiyo iliyobuniwa kupitia kampuni ya Tiba Labs inalenga kupunguza gharama na kuokoa maisha ya watoto njiti.

  2. WHO yatoa neno jitihada za Tanzania kufikia ajenda ya afya kwa wote

    Amesema Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vya uzazi, juhudi za kufikia kila mtoto kwa chanjo, na kupambana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, Kifua Kikuu, homa ya ini, Malaria, na...

  3. Dk Mpango: Serikali ya Tanzania yadhamiria kuinua wanawake uongozi wa afya

    Imeelezwa kuwa, uwekezaji mkubwa uliofanywa kwenye sekta ya afya, maji, elimu na nishati umekuwa jitihada za makusudi za kumuinua mtoto wa kike

  4. PRIME Fahamu hatari ya kutumia mafuta yaliyotumika

    Wataalamu wa afya wameonya kuwa kutumia mafuta zaidi ya mara moja kukaangia chipsi, samaki, maandazi, kuku na vyakula vingine kumetajwa kuwa chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza na saratani.

  5. Makete mpya isiyo na vilio vya misiba tena

    Takriban miongo miwili iliyopita ilikuwa ni jambo la kawaida kuzika watu watatu mpaka wanne kwa siku waliofariki kutokana na maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) wilayani Makete.

    New Content Item (1)
  6. PRIME Profesa Janabi ataja walichobaini kwa watoto wenye uzito uliopitiliza

    Watoto hao waliruhusiwa Machi 20, 2024 baada ya kukaa Mloganzila kwa siku 45 wakichukuliwa vipimo mbalimbali kubaini chanzo cha wao kuongezeka uzito kwa kasi na kuwaanzishia mpangilio maalum wa...

  7. PRIME Hatari ya ‘wallet’ kwa afya ya mwanaume

    Wanaume wengi hupendelea kutumia wallet (pochi) kuhifadhia fedha, kadi za mawasiliano na vitu vidogo muhimu. Wengi wana utaratibu wa kuweka mfuko wa nyuma wa suruali.

  8. Gyumi: Serikali isitishe ununuzi wa mashangingi, inunue pedi shuleni

    Mwanaharakati Rebecca Gyumi amesema Serikali iangalie namna ya kuanzisha jitihada za kuwafanya watoto wa kike wabaki shuleni kwa kutoa taulo za kike bure.

  9. PRIME VIDEO: Watoto waliopitiliza uzito watoka hospitali, mama asimulia matibabu yao

    Wametoka baada ya kupata tiba lishe iliyoanza kuonyesha matumiani ya kupungua, huku mama wa watoto hao Vumilia Elisha akisema hana uhakika wa kuendeleza tiba hiyo kutokana na hali yake ya kiuchumi.

  10. PRIME Blandina Nyoni afunguka alivyotaka kukataa uteuzi wa Rais

    “Nilimpigia hata aliyekuwa msaidizi wa Rais wakati huo nikamuuliza hivi naweza kukataa? Akaniambia ‘Rais amekuteua halafu ukatae, hivi unajipenda?’

Previous

Page 2 of 97

Next