Search

46 results for Julius Mnganga :

  1. ‘Serikali itunge sheria rafiki sekta ya habari’

    Baadhi ya waandishi wa habari wameiomba Serikali itunge sheria ‘rafiki’ zitakazowezesha sekta ya habari kukua na kuongeza ajira zaidi.

  2. Utouh: Hapa kuna ufisadi

    Wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizunguka katika maeneo mbalimbali nchini na kuanza kuwachukulia hatua baadhi ya watendaji waliotajwa kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

  3. RIPOTI: Kasi ndogo barabarani inachangia umasikini

    Usafiri unakukwamishaje kujikwamua kiuchumi? Unadhani kama kasi yako ya kufika sokoni ingeongezeka uchumi wako ungeimarika zaidi ya ulivyo sasa?j

  4. Uhaba wa mafuta waanza kuitesa dunia

    Wakati Serikali ikichukua hatua kadhaa kukabiliana na kupanda kwa bei ya mafuta nchini, mataifa kadhaa barani Asia yanapitia kipindi kigumu kiasi cha kusababisha vifo kwenye foleni ya kupata...

  5. Mufti Zubeir akerwa kesi za uporaji maeneo ya misikiti

    Kesi za uporaji maeneo ya misikiti unaofanywa na jumuiya zinazojitokeza kuwasaidia Waislamu kuboresha maeneo ya kuabudia zimejaa kwenye ofisi ya Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar bin...

  6. Miradi yameza bure mabilioni

    Julius Mnganga, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Licha ya jitihada za kuwahamasisha wananchi kulipa kodi na kushiriki kuijenga nchi yao, baadhi ya watendaji wa...

  7. Wizi wa kalamu daraja la Kigongo-Busisi

    Miaka miwili kabla ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi haujakamilika, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amegundua udanganyifu wa kisomi uliofanywa na mkandarasi wa mradi huo.

  8. Ludovick Utouh alia na Katiba

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh amependekeza kufutwa kwa baadhi ya vipengele katika Katiba ya nchi, ili kuongeza udhibiti wa matumizi ya fedha za umma.

  9. Washauri jinsi ya kujibana bei za bidhaa zikipaa

    Kwa zaidi ya miaka miwili iliyopita, bei ya baadhi ya bidhaa ilikuwa ikipanda, hasa mafuta ya kula na sukari, lakini mafuta yamekuja kusababisha vitu vingi viwe havishikiki.

  10. Matumizi ya gesi kwenye bajaji suluhu kupanda kwa nauli

    “Ninatumia si chini ya Sh6,000 kila siku kutoka na kwenda kazini. Hizi ni fedha nyingi ukipiga hesabu ya mwezi na mwaka mzima,” anasema Mwalimu Agnes Paschal, anayefundisha shule ya msingi jijini...

Previous

Page 2 of 5

Next