Search

516 results for Mgongo Kaitira :

  1. ‘Wasionyonyesha watoto hatarini kuugua saratani ya matiti”

    Mwanza. Imeelezwa kuwa wanawake waliojifungua na kutowanyonyesha watoto kwa kipindi cha angalau cha miaka miwili mfululizo, wako hatarini kuugua satarani ya matiti. Muuguzi Bingwa wa Magonjwa ya...

  2. VIDEO: Saa nne za kuopoa gari lililotumbukia ziwani Mwanza

    Imechukua saa 4:30 kwa mashine ya kuinua vitu vizito ya mgodi wa madini Geita Gold Mine (GGM), kuiopoa gari lililokuwa limetumbukia ndani ya Ziwa Victoria.

  3. Lori latumbukia ziwani likiingia kwenye kivuko

    Lori lilikuwa limepakiwa kwenye kivuko cha MV Sengerema kinachofanya safari ndani ya Ziwa Victoria kati ya Kigongo kwenda Busisi, wilayani Sengerema, mkoani Mwanza

  4. 110 wakutwa na dalili za saratani Mwanza, tezi dume tishio

    Pia amesema watu 20 kati ya 110 sawa na asilimia 18 wamekutwa na uvimbe kenye figo zao jambo linalotajwa kuwa dalili za awali za kuugua saratani ya figo, huku mtoto mmoja akigundulika kuwa na...

  5. Tani 254 za sukari zaanza kutua Mwanza, wafanyabiashara wataka bei iongezeke

    Kwa mujibu wa tangazo la Serikali Na. 40B lililotolewa Januari 23, 2024, kilo ya sukari katika mikoa ya kanda ya ziwa itauzwa kati ya Sh2,650 hadi 2,800 kwa bei ya jumla na Sh2,800 hadi Sh3,000...

  6. Waliofanyiwa upasuaji wa koo uhitaji njia mbadala ya upumuaji

    Wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo ni waliofanyiwa upasuaji wa saratani ya koo, waliopata ajali na wagonjwa mahututi.

  7. Kutotaka kuonekana washamba, sababu wanavyuo kuvuta shisha

    Vijana wengi hutoka maeneo ya pembezoni na kwenda mijini kusoma na kutafuta maisha, ili waonekane na wao ni wa mjini na siyo washamba, hulimbuka na kutumia vilevi mbalimbali ikiwamo shisha.

  8. Chanzo cha mwenyekiti CCM Tabora kufariki akiwa ofisini

    Alikuwa akisubiria ujio wa Mwenyekiti wa Jumuiya Wazazi CCM Taifa, Fadhil Maganya, aliyetarajiwa kuanza ziara yake ya chama mkoani humo.

  9. PRIME Maji sasa ni mateso kila kona Tanzania

    Kwa wakazi wa eneo kama vile Mbezi Msumi jijini Dar es Salaam, kuna nyakati hulazimika kununua ndoo moja kwa Sh1, 300.

  10. PRIME Chadema yafunga jalada kina Mdee

    Wabunge 19 wa viti maalumu walifungua shauri mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama Chadema, wakidai hawajasikilizwa

Previous

Page 2 of 52

Next