PRIME Edward Ngoyai Lowassa: Mapito yako ni mafunzo kwetu Kila mwanadamu ana makundi yote haya. Wewe mwenzetu ilikuwa ni ziada kidogo maana waliokupenda walikupenda kweli-kweli na waliokuchukia walikuchukia kweli-kweli.
NHC itakavyoibadilisha Kariakoo Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limesaini mikataba 19 yenye thamani ya Sh253.2 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa majengo mapya kwa kuvunja yale ya zamani katika eneo la Kariakoo.
ACT Wazalendo yaanza mchakato kumpata mrithi wa Zitto Mpaka sasa viongozi kadhaa wanatajwa kutaka kurithi nafasi hiyo, baadhi yao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo – Tanzania Bara, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti – Zanzibar, Othman...
Nafasi ya Maalim Seif, Balozi Iddi kwenye mafanikio ya Dk Shein Rais wa saba wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ndiye kiongozi aliyeanza na muundo mpya wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), yenye makamu wawili wa Rais, ikijumuisha chama cha upinzani.
Dk Shein alivyoingia madarakani ‘kiulaini’ Dodoma . Rais wa saba wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ndiye kiongozi wa kwanza ambaye ushindi wake ulikubaliwa na mgombea wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad na Rais wa kwanza...
Rais Karume ‘alivyoliamsha’ marekebisho ya Katiba Zanzibar Jana tuliangalia namna Rais Amani Abeid Karume alivyoandika historia ya kisiasa kwa kufanikisha maridhiano ya kisiasa Zanzibar. Leo tunaangalia namna alivyozua taharuki baada ya kufanya...
Sita wahukumiwa kifo mlipuko Kanisa la Olasiti Shauri hilo lilianza kusikilizwa mfululizo Oktoba 2,2023 hadi Novemba kabla ya kuahirishwa kwa ajili ya hukumu iliyosomwa juzi na Jaji Nkwabi.
PRIME Vifo vya wanasiasa vilivyotikisa mwaka 2023 Mwaka 2023, pamoja na mambo mengine, umekuwa wa majonzi na simanzi kwa Taifa baada ya wanasiasa mashuhuri kufariki dunia na kuacha kumbukumbu ya mambo waliyoyafanya katika historia ya siasa za...
Matatani wakikutwa na magunia ya mirungi Jeshi la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewakamata watu wawili wakituhumiwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya mirungi magunia sita na bunda 300 sawa na kilo 150 wakisafirisha, eneo la...
Idadi vifo Hanang yafikia 69 Vifo vilivyotokana na maporomoko ya tope kutoka Mlima Hanang mkoani Manyara, vimefikia 69 baada ya miili minne kupatikana.