Search

533 results for Mohamed Hamad :

  1. Kiteto yatoa mkopo wa Sh130 milioni kwa wanawake

    Kikundi cha wanawake cha Kiteto Sanitation, kimepewa mkoapo wa kununulia gari la kusomba taka la thamani ya Sh130 milioni kwa ajili ya mji wa Kibaya.

  2. Wananchi 33 wanusurika kifo kwa kula kibudu

    Watu 33 wa Kijiji cha Lalalaa, Kata ya Namelock wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamenusurika kifo baada ya kula mzoga wa nyama ya ng'ombe ambayo haijapimwa.

  3. Dawa za kulevya yadaiwa kuuzwa hadharani Kiteto

    Wananchi wa Kata ya Matui wilayani Kiteto mkoani Manyara wamesema, hawana matumaini tena kama vijana wao watawasaidia baaaye kutokana na wengi wao kujihususha na dawa ya kulevya.

  4. Wananchi Kiteto watoa ekari 5 ujenzi kituo cha Polisi

    Wananchi wa Olengasho, Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto mkoani Manyara, wametoa eneo la ekari 5, kwa ajili ya ujenzi wa Kituo kidogo cha Polisi, Kata ya Partimbo ambayo inakabiliwa na migogoro...

  5. RPC Manyara atoa onyo wafugaji, wakulima watakaovunja sheria

    Kufuatia kukithiri migogoro ya ardhi ya wakulima na wafugaji Kiteto, inayofanya makundi hayo kuhasimiana, Kamanda wa Jeshi la Polisi Manyara RPC George Katabazi amekusudia kukutana na makundi hayo.

  6. Umri wa mastaa Simba, Yanga! Onyango mdogo kwa Mauya

    TIMU za Simba na Yanga zipo kwenye michuano ya kimataifa kwa msimu huu na hadi sasa zinaonekana kuwa zina nafasi kubwa ya kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya michuano hiyo, lakini majina...

  7. Ukarabati wa hospitali ya wilaya Kiteto kugharimu Sh900 milioni

    Naibu Waziri Tamisemi, Dk Festo Dugange afurahishwa na maamuzi ya utekelezajo wa mradi huo kwa fedha hizo

  8. Ulega ataka wananchi washirikishwe mipango ya maendeleo

    Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amewataka watumishi wa Serikali wilayani hapa kuhakikisha wanatatua migogoro kabla haijafika ngazi za juu.

  9. Wakili Basila ahoji uwajibikaji wa viongozi

    Wakili Moses Basila amesema kiwango cha uzalendo kwa baadhi ya viongozi ni kidogo hali inayochangia wananchi kuwa na changamoto katika huduma.

  10. Wawili wafariki dunia akiwemo mwanafunzi

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, RPC George Katabazi amethibitisha vifo vya watu wawili waliopoteza maisha akiwemo mwanafunzi wa shule ya sekondari Edward Ole Lekaita aliyekosa hewa...

Previous

Page 2 of 54

Next