Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

709 results for Mohamed Hamad :

  1. PRIME Simba imejipanga eneo hili, ukijichanganya inakula kwako!

    Kuweni makini! Ndivyo unavyoweza kusema kwa timu pinzani pale zinaposhuka uwanjani kucheza na Simba, kwani zikijichanganya kidogo tu zijue mapema inakula kwao mapema.

    Simba Pict
  2. PRIME CCM inavyopenya Pemba, ngome ya upinzani Zanzibar

    Kwa muda mrefu Kisiwa cha Pemba kimekuwa ngome ya upinzani, tangu uchaguzi wa kwanza baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995, kisiwa hicho kilikuwa ngome ya Chama cha Wananchi (CUF).

  3. Katibu mkuu CUF atoa mwelekeo sera ya kuwalinda wanawake uchaguzi 2025

    Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Husna Mohamed Abdallah, ameahidi kupigania ushiriki wa wanawake wa chama hicho katika nafasi za uamuzi kwenye uchaguzi wa 2025, pamoja na kusukuma...

  4. PRIME Uchaguzi Mkuu Zanzibar na mwangwi wa Maalim Seif

    Maalim aliteuliwa kuwa kushika wadhifa huo kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani humo, baada ya kuibuka mshindi wa pili katika matokeo ya urais wa Zanzibar mwaka 2020.

  5. PRIME Lyimo achaguliwa mwenyekiti TLP,  21 wafutwa uanachama, wamkataa

    Wajumbe 84 wa mkutano mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), wamemchagua, Richard Lyimo kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa miaka mitano ijayo.

  6. Kigogo Chadema atangaza nia urais Zanzibar

    Licha ya kutangaza dhamira yake ya kugombea urais Zanzibar, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Said Mzee Said amesema bado msimamo wa chama hicho upo...

  7. Winga mpya atua Yanga, KenGold yashtua

    Yanga imekamilisha usajili wa mshambuliaji anayemudu pia kucheza winga wa kushoto, Jonathan Ikangalombo kutoka AS Vita, lakini taarifa ni kwamba nyota huyo atacheza mechi za ndani tu za Ligi Kuu...

  8. Yanga yaiua Al Hilal, matumaini yabakia kwa Mkapa

    Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kushinda bao 1-0, dhidi ya Al Hilal, katika mchezo...

  9. PRIME Hii ndiyo safu mpya ya uongozi CUF

    Zikiwa zimepita wiki tatu tangu kufanyika kwa uchaguzi wa Chama cha Wananchi (CUF), Baraza Kuu la Uongozi limewachagua viongozi wapya wa sekretarieti ya chama hicho watakaohudumu kwa miaka mitano...

  10. PRIME CUF yamtimua Mbunge wake, mwenyewe asema…

    Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na kukiunga mkono chama tawala cha CCM.

    New Content Item (1)
Previous

Page 2 of 71

Next