Katibu mkuu CUF atoa mwelekeo sera ya kuwalinda wanawake uchaguzi 2025
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Husna Mohamed Abdallah, ameahidi kupigania ushiriki wa wanawake wa chama hicho katika nafasi za uamuzi kwenye uchaguzi wa 2025, pamoja na kusukuma...