Mamia wajitokeza kumuaga Dk Kamala Maziko yanatarajiwa kufanyika Jumanne wiki ijayo kijiji kwao Bwanjai wilayani Nkenge mkoani Kagera.
Si sukari tu, hata viazi, vitunguu havishikiki Kama ulidhani kupaa kwa bei ya bidhaa kumeishia kwenye sukari pekee mambo ni tofauti, hali hiyo imebainika hata katika viazi mbatata, vitunguu na pilipili hoho.
Ndugu ataja sababu kifo cha Dk Kamala Kaka wa marehemu, Dk Francis Rwiza amesema ndugu yake huyo aliugua ghafla tumbo na kukimbizwa hospitali kabla ya kufikwa na mauti.
Dar wataka magari ya taka yawe kama ambulance Andrew amesema moja ya changamoto wanazokutana katika uzoaji taka, ni pamoja na kusimamishwa mara kwa mara na askari wa usalama barabarani.
Madaktari wachambua magonjwa yaliyosababisha kifo cha Lowassa Madaktari wameeleza kwa undani magonjwa ya utumbo kujikunja, shinikizo la damu na mapafu husababishwa na nini na watu wa rika lipi ambao wapo hatarini kuyapata.
Madaktari 10 watiwa kitanzini Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT), limewafungia leseni ya kutoa huduma madaktari sita, huku wanne wakipewa onyo kali baada ya kutiwa hatiani, kwa makosa ya ukiukwaji wa kanuni za maadili na...
Wajanja waanza kujineemesha stendi mpya ya Mwenge Baadhi ya waliopata maduka wadaiwa kutafuta wateja wapya kwa kuwalipa kodi ya juu zaidi
Fursa zaidi kwa wakopaji wa nyumba, TMRC yaongeza mwanahisa Ni benki ya Absa iliyopokelewa leo kama mwanahisa mpya
Siri biriani kuliwa Ijumaa Mara nyingi chakula hiki katika maeneo mengi hupikwa na kuliwa zaidi Ijumaa, ambapo awali ilikuwa zaidi mikoa ya Pwani, lakini sasa kutokana na mwingiliano wa watu, mikoa mingine nako wanakula...
PRIME Ahadi za Askofu Gwajima kizungumkuti Kawe Baadhi ya wananchi wa Kawe wamehoji kuhusu utekelezaji wa ahadi alizotoa mbunge wao, Askofu Josephat Gwajima wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020.