Search

497 results for Nasra Abdallah :

  1. PRIME Zifahamu athari za wanandoa kununiana na tiba yake

    Imeelezwa kuwa suala la wanandoa kununiana ndani ya nyumba kwa muda mrefu ni miongoni mwa mambo yanayoweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa.

  2. Waanzisha mfuko kusaidia watakaofiwa na wazazi kuendelea kusoma

    Shule ya Mount Thomas, iliyopo Gongo la amboto jijini hapa imeanzisha mfuko maalum ambao lengo lake ni kusaidia watoto waliofiwa na wazazi wao na ambao watafiwa na wazazi wao wakiwa bado...

  3. PRIME RC Chalamila ategua kitendawili soko la Mabibo

    Nani kupewa hati ya kumiliki soko la Mabibo? Hilo ndilo linaweza kuwa swali kwa sasa baada ya kuvunjwa kwa uongozi wa soko uliokuwa unavutana na Halmashauri ya Ubungo jijini hapa.

  4. Mfahamu Lea, mwanamke kondakta kwa miaka 30

    “Wee bibi, nenda kalee wajukuu.” Hayo ndiyo maneno anayokutana Lea Ntunda akiwa kwenye kazi yake ya utingo wa daladala inayofanya safari Mwananyamala-Buza jijini Dar es Salaam.

  5. Wanafunzi UDSM kujifunza kwa vitendo China

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), kimepewa ‘shavu’ baada ya kusaini makubaliano yatakayo wawezesha wanafunzi wake kujifunza kwa vitendo katika mradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu...

  6. 'Vijana tumieni mitandao ya kijamii kuzungumzia ajenda zinazowahusu'

    Vijana nchini wametakiwa kutumia vizuri mitandao ya kijamii ikiwemo kizungumzia ajenda zinazohusu mastakabali wa maisha yao.

  7. Wadeni sugu wa NHC kutangazwa katika vyombo vya habari

    Kutokana na kusuasua kulipwa kwa madeni linalowadai wateja wake, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limekuja na kampeni iliyobeba mambo nane katika kuhakikisha inakusanya madeni hayo ikiwemo...

  8. Filamu za Afrika Mashariki ndani ya tuzo za Tanzania

    Bodi ya Filamu nchini (TFB), imetangaza kufungua msimu wa tatu wa tuzo za filamu, ambapo wameongeza kipengele kimoja kipya cha ‘Filamu bora ya Afrika Mashariki.’

  9. PRIME Mfahamu Zanini, mwanamke anayefanya kazi za ndani miaka 20 kwa bosi mmoja

    Mara kadhaa kumeripotiwa matukio ya kikatili yanayodaiwa kufanywa na wafanyakazi wa ndani, ikiwamo kuwaua au kuwapiga watoto wa mabosi zao wakati wazazi husika wakiwa hawapo nyumbani,

  10. Zitto abadili kamati ya wasemaji ACT Wazalendo

    Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amefanya mabadiliko ya Kamati ya wasemaji wa kisekta ya chama hicho leo Agosti 6, 2023.

Previous

Page 2 of 50

Next