Kibamba: Siasa za Katiba siyo za mashindano Mwanaharakati wa Katiba, Deus Kibamba amesema siasa za Katiba siyo siasa za maridhiano, ni siasa za maridhiano, hivyo amesisitiza umuhimu wa wadau wote kuridhiana katika mchakato wa kuandika...
Jussa ataka Sheria ya Jeshi la Polisi ifanyiwe marekebisho Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa amependekeza Sheria ya Jeshi la Polisi iongezwe katika sheria zitakazofanyiwa mabadiliko katika Bunge lijalo.
Profesa Makame: Wanasiasa mna nafasi kubwa kwenye maridhiano Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (Suza), Profesa Mohamed Makame Haji amechambua 4R za Rais Samia Suluhu Hassan huku akisisitiza umuhimu wa maridhiano na nafasi ya wanasiasa katika jambo hilo.
PRIME Kivumbi cha demokrasia nchini Rais Samia Suluhu Hassan, amevunja ukimya kuhusu hali ya kisiasa nchini kwa kueleza masuala yanayomkera katika uendeshaji wa demokrasia na utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazi.
Warioba akerwa changamoto uchaguzi 2020 Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, Joseph Warioba, ameonyesha kukerwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, huku akisema mambo hayo yalikuwa mpya...
RC Chalamila awahimiza Watanzania kuliombea Taifa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka Watanzania kuliombea Taifa ili liendelee kuwa na amani, upendo na umoja na wananchi wote pamoja na viongozi waishi na kufanya kazi kwa haki.
Wadau wa maendeleo waahidi Sh751.2 bilioni kwa ajili ya vijana Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Tanzania imepokea ahadi ya ufadhili wa zaidi ya Dola za Marekani 300 milioni (Sh751.2 bilioni) kutoka kwa wadau wa maendeleo kwa ajili ya kuwasaidia vijana...
Holsether: Tuwaingize vijana wengi kwenye kilimo walete mapinduzi Rais na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Yala International, Svein Tore Holsether amesema kuna haja ya kuwaingiza vijana wengi kwenye sekta ya kilimo na kuwaonyesha kwamba kuna fursa kubwa kwenye...
Mikakati mitatu ya Rais Samia kwenye kilimo kwa vijana Huenda kilio cha masoko ya mazao kwa wakulima ikabaki kuwa historia nchini, hii ni baada ya mikakati ya Serikali kwa kutengeneza muunganiko wa moja kwa moja kati ya mkulima na soko, kujenga...
PRIME ‘Polisi waachwe wasifanye kazi kwa maelekezo kwenye chaguzi’ Wakati Rais Samia Suluhu akiahidi kulitafutia Jeshi la Polisi Sh125 bilioni ili lisimamie vizuri uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi mkuu, wadau wameainisha mambo linalopaswa kufanya...