Search

916 results for Peter Elias :

  1. Nahodha: Mwinyi alileta matumaini kwenye nyakati ngumu

    Waziri Kiongozi mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Shamsi Vuai Nahodha, amesema hayati Ali Hassan Mwinyi, alileta matumaini kwa wananchi katika nyakati ngumu walizokuwa wakipitia.

  2. VIDEO: Hatua kwa hatua mwili wa Mwinyi ukiagwa Uwanja wa Uhuru

    Dar es Salaam, shughuli ya kutoa heshima za mwisho inafanyika katika uwanja wa Uhuru huku wananchi na viongozi mbalimbali wa kitaifa watapata fursa ya kumuaga kiongozi huyo

  3. Warioba, Wasira, Profesa Lipumba wamkumbuka Mwinyi

    Huu ni msiba mkubwa kwa Taifa. Rais Mwinyi alichukua uongozi wakati nchi ikiwa kwenye matatizo makubwa. Ni kipindi ambacho matukio yaliyotokea yaliifanya hali ya nchi kuwa ngumu sana.

  4. Migongano ya binadamu na wanyamapori yazidi kuongezeka, suluhisho latajwa

    Matukio ya wanyamapori kuingia kwenye makazi ya watu yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo watu kujenga makazi kwenye shoroba za wanyamapori.

  5. Viongozi 24 washiriki mazishi ya Rais wa Namibia

    Dk Geingob aliyeshiriki harakati za kupigania ukombozi wa nchi hiyo kupitia chama cha Swapo, atazikwa kesho Jumapili, Februari 25, 2024 katika makaburi maalumu ya viongozi nchini humo, maarufu...

  6. Netumbo Nandi - Ndaitwah; Mwanamama anayeandika historia mpya Namibia

    Kama ambavyo imekuwa vigumu kwa mwanamke kupata nafasi kwenye jamii yenye mfumo dume, ndivyo ilivyokuwa vigumu kwa Netumbo Nandi-Ndaitwah, mpigania ukombozi nchini Namibia ambaye kupitia chama...

  7. Wanapiga soka na kusoma vitabu

    Hawakukosea waliosema usihukumu kitabu kwa kuangalia pambo lake la nje, kabla ya kujua kilichopo ndani, ndivyo yalivyo maisha ya wanasoka wengi, nje ya uwanja wana maisha mengine tena mazuri sana.

  8. Kakakuona hatarini kutoweka, jitihada za makusudi zahitajika

    Mataifa mbalimbali yameshuhudia kukamatwa kwa kakakuona akisafirishwa kwa njia haramu au viungo vyake

  9. Ijue historia siku ya Valentine, vijana wafunguka wanavyoadhimisha

    Mtakatifu Valentino aliuawa Februari 14, ndiyo maana ikatangazwa rasmi kuadhimishwa kwa ajili ya kumkumbuka kama baba wa upendo na mtetezi wa wanandoa.

  10. Zitto azungumzia uhusiano wa ACT Wazalendo na Lowassa

    Amesema uamuzi Lowassa wa kutoka CCM kwenda upinzani ulikuwa wa kukomaza demokrasia, ingawa baadaye iliporomoka.

Previous

Page 2 of 92

Next