Search

63 results for Ramadhani Ismail :

  1. Watafiti wagundua viuatilifu vya kuangamiza mmea hatari nchini

    Wanasayansi kutoka Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) wamefanikiwa kubaini viuatilifu vinavyoweza kuangamiza mmea hatari nchini ujulikanao kama 'gugu karoti'.

  2. Wasabato wafuturisha waumini wa Kiislamu kudhihirisha upendo

    Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza wamewafuturisha waumini wa Dini ya Kiislamu Mkoa wa Shinyanga kama ishara ya mahusiano mema na ushirikiano kati ya waumini wa dini na...

  3. Elon Musk kuwekeza Tanzania

    Wakati Tanzania ikipokea maombi ya huduma ya intaneti kwa njia ya setelaiti (Starlink), wadau wamesema itachochea uchumi wa kidijitali na itakuwa nafuu na yenye kasi.

  4. Mshtuko wanasoka na dawa za kulevya

    Wanasoka wamekumbwa na mshtuko kufuatia taarifa za kukamatwa kwa Kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Sultan (40) akidaiwa kuwa na dawa za kulevya.

  5. Vita ya vigogo CCM hapatoshi

    Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inakutana jana kuchuja majina ya wagombea wa nafasi za uongozi mkoa, ambao baadhi yao watakuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa.

    New Content Item (1)
  6. Mganga wa jadi jela kwa kosa la kumuua mwenzake wakigombea mwanamke

    Mganga wa kienyeji, Ismail Ramadhani (27) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mwanaume mwenzake bila kukusudia, wakiwa wanagombania...

  7. Familia sita zavamiwa, wanne wajeruhiwa kwa mapanga Dar

    Familia sita zinazoishi mtaa wa Kwembe Mpakani jijini Dar es Salaam zimevamiwa na vibaka na kujeruhiwa kwa mapanga, huku pia vibaka hao wakiiba mali za familia hizo.

  8. Taso yaiomba Serikali kuwarejeshea majengo, mabanda

    Chama cha Wakulima Tanzania (Taso) kimeiomba Serikali kurejesha umiliki wa majengo na mabanda ya maonyesho ya wakulima Nanenane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya baada ya Wizara ya...

  9. Msuva aweka rekodi Taifa Stars ikihitimisha kwa sare

    Licha ya Taifa Stars kushindwa kwenda katika hatua inayofuata ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia, imehitimisha mechi zake kwa heshima huku Simon Msuva akiweka rekodi.

  10. KESI YA UHAINI 1985:Tamimu auawa, kesi ya wenzake yaanza-2

    Jana tuliona jinsi mambo yalivyokuwa alipofuatwa nyumbani kwake Kinondoni Mkwajuni na wanausalama, kinara wa mapinduzi, Mohamed Tamimu baada ya kuruka ukuta na kutoroka huku wanausalama...

Previous

Page 2 of 7

Next