Sho Madjozi: Rudisheni ladha ya Bongofleva halisi katika midundo mipya
“Hata kabla ya Amapiano kuingia watu walianza kuchukua midundo, melodi na staili za Nigeria, mpaka ikafikia hatua unashindwa kujua kama ni nyimbo ya Kibongo kwa sababu mpaka matamshi wanaiga.