Search

106 results for Samirah Yusuph Yusuph :

  1. Boda boda, bajaji sasa kulipa kodi kila mwaka

    Pikipiki za biashara zinazobeba abiria zitachangia kodi ya Sh65,000 kila mwaka huku, pikipiki za miguu mitatu maarufu kama bajaji zitaichangia kodi ya Sh120,000.

  2. TIC yasajili miradi 1, 200 ikiwemo ya kilimo

    kwa kipindi cha miezi sita miradi 19 ya kilimo yenye thamani ya dola 134 milioni imesajiliwa ambayo inatarajiwa kutoa ajira 6,044 ikiwa ni baada ya kuboreshwa kwa sheria ya usajili wa miradi...

  3. Kikongwe wa miaka 92 auawa, anyofolewa macho

    Kikongwe Minza Maduhu (92), mkazi wa Mtaa wa Mwakibolo Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu ameuawa na watu wasiojulikana ambao pia wamemnyofoa macho.

  4. PRIME VIDEO: Korti yaamuru nyumba iuzwe kulipa mahari

    Mahakama ya Wilaya ya Meatu imeamuru nyumba ya mkazi wa Kijiji cha Nkoma Mkoa wa Simiyu, Seleman Mussa (65), kuuzwa ili kulipa deni la Sh1.1 milioni analodaiwa kukamilisha mahari ya kijana wake.

  5. Nyumba hatarini kuuzwa kisa deni la mahari

    Katika hali isiyo ya kawaida, nyumba ya Seleman Mussa (65), Mkazi wa Kijiji cha Nkoma, wilayani Meatu, Mkoa wa Simiyu, iko hatiani kuuzwa kama fidia ya deni la Sh1.1 milioni, analodaiwa baada ya...

  6. Shule mpya yamaliza hofu ya wanafunzi kushambuliwa na fisi

    Hofu ya watoto wao kushambuliwa na fisi wakati wa kwenda na kurudi shule ya msingi Kidinda waliokuwa wazazi wa Mtaa wa Nyangaka Wilaya ya Bariadi imeisha baada ya Serikali kujenga shule mpya...

  7. Kilo 453 za dawa za kulevya zateketezwa

    Kati ya kilo hizo, 386.94 ni za mirungi na kilo 66.4 zilikuwa za bangi huku jumla ya watuhumiwa 58 wakikamatwa na 20 kati yao wametiwa hatiani.

  8. Walalamikia gharama kufunga mifumo ya umeme, Rea yaonesha njia

    Wamesema wamekuwa wakitozwa kati ya Sh150,000 hadi Sh300,000 kufunga mifumo ya umeme kwenye vyumba viwili bei ambayo baadhi ya mafundi wanadai inatokana na vifaa vya umeme kuwa juu.

  9. Waziri Ummy; Wawajibisheni ila msiwapeleke mahabusu

    Amesema licha ya makosa ya kitaaluma ya watumishi wa kada hiyo kutafutiwa suluhu katika mabaraza yao ya kitaaluma inabidi wao wajitambue na kuwajibika bila kushurutishwa.

  10. Madaktari Bingwa kupiga kambi siku tano Simiyu

    Kambi hiyo ya matibabu ya kibingwa itaanza Juni 12, 2023 hadi Juni 16, 2023 katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Simiyu.

Previous

Page 2 of 11

Next