Search

633 results for Mohamed Hamad :

  1. Mwakilishi Mtambwe kuanzisha mfuko wa dharura

    Mwakilishi jimbo la Mtambwe, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Dk Mohamed Ali Suleman ameapa rasmi kuwa Mwakilishi wa jimbo hilo huku akiahidi kusaka wadau mbalimbali kwa ajili ya kuchochea maendeleo...

  2. Sakata la Gekul bado bichi, THBUT yatia mguu

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (THBUB), inakusudia kufanya uchunguzi wa kina ili kupata ukweli wa tuhuma za ukatili na udhalilishaji unaodaiwa kufanywa na Mbunge wa Babati...

  3. Maalim Seif, hayupo lakini yupo

    Wananchi wa Zanzibar na Bara kwa ujumla wanajiandaa kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi. Ni mapinduzi yenye historia ya kuvutia kwani, ndiyo yaliyoleta ukombozi kwa wanananchi wa visiwa hivyo...

  4. Dereva wa pikipiki afariki, ‘helmet’ yatajwa

    Dereva wa pikipiki Mohamed Yusuph (26), mkazi wa Kaloleni, wilayani Kiteto, mkoani Manyara, amepoteza maisha kwa kunyongwa na kamba ya kofia ngumu ya pikipiki (helmet), baada ya kupata ajali...

  5. Wanyanga Chemba wachangia damu

    Mashabiki na wapenzi wa timu ya Yanga SC katika Kijiji cha Olboloti, wilayani Chemba, Mkoa wa Dodoma, wamechangia damu salama uniti 12 kwa lengo la kuokoa maisha ya mama wajawazito na watoto...

  6. Polisi Kiteto yanasa shehena ya dawa za kulevya

    Jeshi la Polisi wilayani Kiteto limekamata shehena ya dawa za kulevya aina ya mirungi bunda 94, ambazo ni sawa na kilo 54.1.

  7. Kaya 13 zanufaika na mradi bomba la mafuta Kiteto

    Kiteto. Kaya 13 wilayani Kiteto mkoani Manyara, zimejengewa nyumba za kuishi na familia zao kupitia mradi wa bomba la mafuta ambao utajengwa kutokea Hoima Uganda kupitia Kiteto hadi Tanga. ...

  8. Wawili wafariki dunia ajali ya gari na baiskeli Kiteto

    Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, mkoani Manyara linamshikilia dereva wa gari aina ya Mistubishi, Haruna Salumu (35) mkazi wa Kibaya kwa tuhuma za kusababisha vifo vya watu wawili waliokuwa kwenye...

  9. Mgambo adaiwa kujinyonga kisa ugomvi na mkewe

    Shukurani Jackson (34) mkazi wa Kiegea, Kata ya Sunya, wilayani Kiteto, mkoani Manyara, amedai kujinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ya manila chumbani kwake.

  10. Mtoto afariki dunia gunia likishika moto

    Mtoto mmoja amefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya mkaa waliokuwa wameuhifadhi kushika moto na kuunguza nyumba walimokuwa wamelala.

Previous

Page 3 of 64

Next