Aliyeua mke na mtoto mchanga wa wiki mbili akutwa kichakani akiwa hoi
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro, linamshikilia, August Matemu, Mkazi wa Kirua Vunjo, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro kwa mauaji ya mkewe, Fausta Tesha(26) na mtoto mchanga wa wiki mbili...