Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1440 results for Janeth Joseph :

  1. Rombo kutumia risasi kuwafukuza nyani

    Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Kata ya Ushiri Ikwiini, Alex Shayo amesema hatua ya kupunguza nyani hao kwa kuwaua itawezesha wananchi kufanya shughuli za maendeleo hasa kilimo.

  2. Wawili wafariki kwa kukanyagwa na treni Moshi

    Watu wawili wamefariki duniani papo hapo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kugonga treni iliyokuwa ikitokea Jijini Arusha kuelekea Jijini Dar es salam.

  3. Kivumbi kutimka majimboni, kata

    Madiwani waliojisahau matumbo moto, Wapinzani watangaza mikakati patashika nguo kuchanika.

  4. Adaiwa kumuua baba yake saa chache kabla ya kuingia 2023

    Ni masikitiko. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mzee wa miaka 81, Dionis Lyimo, mkazi wa kijiji cha Nduweni, Kata ya Marangu Magharibi, Wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro kudaiwa kuuawa...

  5. Hekta 23 za shamba la wanyamapori zateketea Moshi

    Zaidi ya hekta 23 za shamba la wanyamapori la Namalok linalomilikiwa na kiwanda cha sukari cha TPC, wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro limeteketezwa kwa kwa moto na watu wasiojulikana.

  6. Polisi Kilimanjaro yanasa gari linalodaiwa kuibwa Dar

    Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja ambaye ni mkazi wa Moroco jijini Dar es Salaam kwa kukutwa na gari ya wizi aina ya Toyota RAV4 aliyokuwa akiiendesha kuelekea nalo...

  7. RC Kilimanjaro atoa neno kwa wanaume

    Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka wanaume wanaowapa ujauzito wanawake na kuacha kulea watoto wao pindi wanapozaliwa waache tabia hiyo.

  8. Askofu ataja siri nyuma ya kusifia viongozi, ataka wahusika washtuke

    Awataka viongozi wanaoteuliwa kuwa makini nao kwa kuwa wanaficha udhaifu.

  9. Wadau wachangishana Sh132 kupiga jeki hospitali Rombo

    Mbunge wa Rombo, ambaye ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda pamoja na wafanyabiashara maarufu Mkoani Kilimanjaro wamejitolea na kuchangisha zaidi ya Sh100 milioni kwa...

  10. Mabehewa 16 yaleta ahueni usafiri Kilimanjaro

    Mabehewa 16 yaliyoongezwa kwa treni zinazosafiri kuelekea mikoa ya Kaskazini yameelezwa kuleta unafuu wa usafiri hasa katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

Previous

Page 96 of 144

Next