Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

169 results for Anania Kajuni :

  1. PRIME Kilio cha Januari, vifaa vya shule bei juu

    Januari ni msimu wa pilikapilika za maandalizi ya shule. Wazazi na walezi wanahangaika huku na kule kusaka mahitaji, huku bei za bidhaa zikiwa tayari zimepaa.

  2. Hakuna kifo ajali ya basi la Kisire, dereva atiwa mbaroni

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa akizungumzia tukio hilo Charles huyo yupo chini ya ulinzi pindi uchunguzi ukikamilika atafikishwa mahakamani.

  3. BoT yaja na mfumo kushughulikia malalamiko ya wateja taasisi za fedha

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanzisha mfumo maalumu wa kielektroniki mahususi kwa ajili ya kushughulikia changamoto na malalamiko ya wateja, kuhusu huduma za kibenki.

  4. Magari ya shule yenye ‘tinted’ yapigwa marufuku Mwanza

    Ofisa Elimu Mkoa wa Mwanza, Martin Nkwabi ametaja changamoto tano zilizoko kwenye magari ya shule yanayowafuata na kuwarudisha wanafunzi nyumbani, huku akipiga marufuku magari hayo kuwa na vioo...

  5. Haya ndio maisha ya ombaomba kwenye majiji, Serikali yataja mkakati

    Frida John mkazi wa Shinyanga, ambaye ni mlemavu wa miguu amedai kuletwa Arusha kwa ajili ya kufanya kazi ya kushona viatu vya asili kwa makubaliano ya kulipwa mshahara wa Sh150,000 kwa mwezi...

  6. Simulizi ya padri aliyepanda miti zaidi ya milioni 1.7 katika miaka 65

    Mwanza. “Tangu nimeanza kupanda miti mwaka 1959 nikiwa darasa la kwanza mpaka sasa nimepanda zaidi ya miti 1,700,000 kiasi kwamba sasa kila ninapokwenda huwa nakutana na watu wananiambia huu ni...

  7. Hofu kukosekana kwa vijana yatajwa kuchochea maambukizi VVU

    Mwanza. Kutokuwa na hofu ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) pamoja na changamoto za maisha, zimetajwa kuwa sababu kuu zinazochangia ongezeko la maambukizi mkoani Mwanza, kutoka asilimia 16...

  8. Mvua yatajwa kuharibu orodha ya wapigakura Mwanza, wahaha kupiga kura

    Vituo vingine ambavyo Mwananchi imefika na kubaini uwepo wa malalamiko ya majina kutoonekana huku wengine wakisema karatasi zimechanwa na mvua, ni Kabambo Kata ya Kiseke na Kitangiri wilayani...

  9. Wakutubi wafunguka magumu yao, waiangukia serikali

    Wahudumu wa maktaba nchini wameeleza changamoto zinazokwamisha maendeleo ya taaluma yao, huku wakiiomba Serikali kuangalia upya kada hiyo.

  10. PRIME Biashara vyuma chakavu na plastiki, chaka la uhalifu

    Uanzishaji wa viwanda vya kurejeleza vyuma na kutengeneza bidhaa mbalimbali zikiwamo nondo, umeongeza mahitaji ya chuma chakavu mitaani.

Page 1 of 17

Next