Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

139 results for Bahati Mwatesa :

  1. Liwale kutumia ‘drone’ kufukuza tembo makazi ya watu

    Orio amesema ndege nyuki hizo zimesaidia kufukuza na kudhibiti makundi ya tembo 11 yenye zaidi ya tembo 220 ambao walikuwa wanafanya uharibifu kwenye maeneo ya makazi na mashamba ya wananchi...

  2. Mradi wa maji Sh1 bilioni kuwaokoa wananchi 12,619 kusaka maji usiku na mchana

    Wananchi wa Tarafa ya Naipanga, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji baada ya Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (Ruwasa) kuwajengea tanki la maji...

  3. Majiko banifu 626 yakabidhiwa Ruangwa

    Serikali ya Wilaya ya Ruangwa kupitia wadau mbalimbali wa maendeleo wametoa majiko ya gesi 626, pamoja na majiko banifu katika kuendeleza nishati safi ya kupikia.

  4. Sh600 milioni kuwaondolea adha ya kufuata huduma za afya mbali wakazi wa Nachunyu, Mtama

    Wananchi wa kata ya Nachunyu wataondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya afya baada ya Serikali kuwajengea kituo cha afya Pangaboi.

  5. Upungufu wa watumishi wachelewesha utatuzi wa migogoro ya ardhi Lindi

    Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Lindi, Geofrey Mugisha, amesema hadi sasa idara hiyo ina jumla ya watumishi 41 pekee, hali inayokinzana na mahitaji halisi ya zaidi ya watumishi 100 kwa ngazi ya mkoa na...

    New Content Item (1)
  6. Mchinjita ajitosa kuomba ridhaa kugomea ubunge ACT Wazalendo

    Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kugombea nafasi ya ubunge Jmbo la Lindi Mjini.

  7. Barabara Somanga - Mtama kula kichwa cha mtu Tanroads

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa wataalamu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), waliokwamisha kwa uzembe urejeshaji wa mawasiliano katika...

  8. Madaraja mawili yakatika barabara inayoenda mikoa ya kusini

    Mvua zinazoendelea kunyesha katika Mkoa wa Lindi hasa wilayani Kilwa, zimesababisha kukatika kwa baadhi ya madaraja likiwamo la Somanga – Mtama na la Mto Matandu ambalo awali liliharibiwa na mvua...

  9. Vijana wa BBT walioajiriwa na bodi ya korosho wapewa zigo

    Vijana walioajiriwa kwa mkataba na Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kupitia programu ya Jenga Kesho Iliyobora (BBT) wamepewa kibarua cha kuhakikisha uzalishaji wa zao hilo unaongezeka.

  10. Songamnara, Kilwa kisiwani kinara kuvutia watalii

    Mamlaka ya wanyamapori Tanzania (Tawa) imeyataja maeneo ya Songamnara na Kilwa kisiwani kuwa kinara kwa kutembelewa na watalii mkoani Lindi.

Page 1 of 14

Next