Search

48 results for Bertha Ismail :

  1. Mbowe ampa Lema kibarua Katiba Mpya

    Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amempa kazi mjumbe wa Taifa wa chama hicho, Godbless Lema juu ya kuanzisha upya harakati za kudai katiba mpya kwa upande wa mikoa ya Kanda ya kaskazini.

  2. Sababu tano Wajackoyah, kumpokea Lema nchini

    Aliyekuwa mgombea urais Kenya mwaka jana, George Wajackoyah kutoka chama ya Root, ni miongoni mwa wanasiasa watakaompokea mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema anayetarajia kurudi...

  3. Jaji Tiganga apinga ukatili kwa watoto kumalizwa kwa usuluhishi

    Jaji Tiganga aliyasema hayo leo Februari 1, 2023 mkoani Arusha katika kilele cha siku ya sheria nchini iliyoanza Januari 22 ikiwa na kaulimbiu 'Umuhimu wa utatuzi wa migogoro kwa njia ya...

  4. Kivumbi kutimka majimboni, kata

    Madiwani waliojisahau matumbo moto, Wapinzani watangaza mikakati patashika nguo kuchanika.

  5. Gambo aibua tuhuma za kunusurika kuuawa mara mbili

    Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma dhidi ya viongozi wa Serikali akiwatuhumu kuuwinda uhai wake ikiwamo kumvamia nyumbani kwake eneo la Muriet kwa silaha mbalimbali.

  6. Wafugaji waiangukia Serikali ubora vifaranga, vyakula vya kuku

    Kutokana na vifo vya vifaranga vinavyotokea kwenye mabanda na vyakula kushindwa kukuza kuku kwa muda unaotakiwa, wafugaji nchini wameiomba Serikali kudhibiti kampuni zinayotoa vifaranga na...

  7. Rushwa yagharimu mapato ya Serikali

    Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema kuwa matukio ya ubadhirifu na udanganyifu wa matumizi ya fedha yamekuwa yakiigharimu Serikali na taasisi binafsi zaidi ya asilimia tano ya...

  8. Latra yagomea maombi ya daladala Arusha

    Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imegoma kupokea maombi ya wafanyabiashara wapya wa daladala kuongezwa kwenye idadi ya watoa huduma ya usafiri ndani ya jiji la Arusha.

  9. Ukame unavyotishia njaa, magonjwa kwa wananchi

    Ni mateso!.. ndivyo unavyoweza kusema unaposhuhudia wananchi wa Monduli wanavyosota usiku na mchana kusaka maji kwenye mabwawa machache yaliyobakia baada vyanzo vingi tegemezi kukauka kutokana na...

  10. Serikali yatoa tani 300 za mahindi kuwanusuru wananchi Monduli

    Serikali imegawa mahindi hayo ya msaada kwa wananchi baada ya wilaya hiyo kukumbwa na ukame iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi na kusababisha watu wake kukumbwa na baa la njaa.

Page 1 of 5

Next