Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

173 results for Dk Levy :

  1. Ndani ya Boksi: Tunazalisha kina ‘pateni’ bila misingi

    Tumetoka kwenye familia ambazo, nyumba ina korido ndefu kama treni. Kila mtu kapanga ndoo mlangoni kwake. Kulia vyumba tisa, kushoto vyumba nane, na mwenye nyumba anaishi vyumba vya uani.

  2. Ndani ya Boksi: Mwanaume usikere wanaume wenzako 

    Ukiwa maskani au kwenye pub flan. Kama siyo kwenye nyama choma na wana. Achana zile stori za umesoma wapi hadi wapi. Sijui una digirii ngapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Usiwe...

  3. Ndani ya Boksi: Vijana wa 2000 ni wazee wa 2025

    Kuna watu wetu wamegoma kuzeeka. Kama siyo kiakili basi kimwili. Wapo wanaotaka miili ya 2000 iwe vilevile hadi leo. Na mawazo yao ya 2000 pia yaendelee kuwa vilevile hadi leo. Hili nalo ni...

  4. Utofauti wa Bongo Movie ya sasa na ile ya Kaole

    Bongo movie ya Kaole wengi wao waliingia kwenye sanaa kwa kuipenda sana. Hawakuwa na ndoto ya utajiri wa umaarufu. Ndiyo. Bishanga hakuwaza ustaa na utajiri. Ustaa ulikuja kutokana na ubora wake...

  5. Hashim Lundenga na alama 13

    ‘Anko’ Hashim Lundenga. Wazo lake la Miss Tanzania alizalisha nyota wengi wa kike ambao kupitia shindano hilo maisha yao yalibadilika kabisa. Hapo ndipo utaona namna Anko Lundenga alivyoacha alama.

  6. Ndani ya Boksi: Kifo cha Carina somo kwa tulio hai 

    Sanaa ya filamu imempoteza msanii. Mtaa umepoteza mrembo, Magomeni imepoteza balozi. Familia imepoteza mtoto, dada, anti na jembe. Pole kwa wote, pole zaidi kwa Mama Carina. Hii dunia tumekodisha...

  7. Ndani ya Boksi: Kuna wasanii bila sanaa halisi 

    Tamthiliya. Ndiko liliko kimbilio kwa waigizaji wetu. Hakuna tena filamu. Tunalazimika kutafuta ving’amuzi vya runinga tofauti ili tuwaone wasanii wetu tunaowapenda. Hili ni tatizo.

  8. Ndani ya boksi: Khadija Kopa na Jide hadi Nandy na Zuchu

    Kwa wahenga. Vuta kumbukumbu ya mwanadada mweusi. Weusi ule wenye kung’aa kama mchaichai. Ngozi yake nyororo, mwili flani wenye afya njema. Mcheshi kweli kweli, meno na macho meupe peee.

  9. Ndani ya Boksi: Kama vipi tuzo zitolewe kila mwezi 

    Juzi kati nilikuwa mitaa ya kati. Nipo ‘bize’, natembea, nimevimbiana kama Aziz Ki mbele ya bibie Hamisa. Sina habari na mtu, sina hofu na maisha, sina presha na mapenzi. Kifupi mimi ndo...

  10. Ndani ya Boksi: Mnalilia Arena tu, kutumbuiza 'laivu' aaah!

    Yes! Arena siyo kwa ajili ya muziki tu. Lakini muziki una nafasi kubwa. Ndiyo maana kelele nyingi ni za wanamuziki kuitaka Arena. Wanaitaka kwa sababu majirani zenu wanazo na wanatamba sana.

Page 1 of 18

Next